Yanga watafika fainali CAFCC

Yanga watafika fainali CAFCC

Huyu Far Rabat yupo juu ya Wydad na Raja, unasemaje wa kawaida?[emoji15]
Screenshot_20230403-111108_LiveScore.jpg
 
Kwa hali ilivyo sasa Yanga wanaweza kuivuka Historia ya SIMBA.
Kuivuka historia ya Simba maana yake ni kuchukua ubingwa. Kumbuka, Simba ilishawahi kufika fainali ya kombe la CAF 1993
 
Yanga wanajiona wako vzr baada kumshinda tp mazembe iliyoisha, kumbukeni mazembe alikua, raund champions lg, akatolewa na vipers, ambayo imepigwa nje na ndani na simba.
 
Hata mie nakubali kule CAFCC hakuna team za kutisha mwaka huu, Yanga wakichanga karata vizuri wanafika Final km sio kuchukua kombe kabisaa.

Team nayoona inaweza kuizuia Yanga ni Pyramids tyuuh, wale wengine anawapiga nje ndani (akiwa serious).
Hata nyie mngechukua kosa lenu likuwa kuota na moto katikati ya uwanja mkasahahu mpira ni sayansi.
 
Tukubali tu ukweli yanga ya Sasa wamejipanga pesa imewekezwa kisawasawa nadhan wale wa ten percent walifyekelewa mbali huko Kwa mtaani wetu utopolo.

Hata sisi Simba inwezekana shida upigaj mwingi ndio maana tunaletewa wachezaj wa mafungu.

Nataman sana yanga ifike mbali Ili Simba nao wapate hasira na kuamua kuwekeza haswa na kununua wachezaj wa maana na sio hawa wa mafungu.
Leo hii yanga hakuna mchezaj mkubwa Kila mchezaj anapambania namba hii ndio maana halisi ya timu yenye kikosi kipana.
Go utopolo nadhan mlijifunza mengi kipind mnapitia wakat mgumu wa kutoambulia chochote Kwa misimu minne mfululizo na Sion km mtauja rudia hilo kosa km tulivyofanya sisi Simba Kwa kuingiza tamaa ya kuuza key players had timu kukosa balance had Leo inajitafuta balaa
 
Kwa hali ilivyo sasa Yanga wanaweza kuivuka Historia ya SIMBA. I am a SImba Fan lakini SIMBA mwaka Jana kulikuwa na timu kama BERKANE ORLANDO.

This Time CAFCC kuna timu nyingi lakini za kawaida sana mfano future pyramid FAR RABAT na Rivers zote za kawaida sana.

Kwahiyo kwako umeona Berkane ndio timu ngumu zaidi kwa msimu uliopita? Haya nikuambie tu kuwa huyo Berkane unayemuona ndio kidume, ameondoshwa mashindanoni na Monastir ambayo kwa Mkapa imeoga goli mbili bila. Yanga kwasasa imeimarika
 
Hata nyie mngechukua kosa lenu likuwa kuota na moto katikati ya uwanja mkasahahu mpira ni sayansi.
Na nyie hiyo Sayansi zamani mlikua hamuijui??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hali ilivyo sasa Yanga wanaweza kuivuka Historia ya SIMBA. I am a SImba Fan lakini SIMBA mwaka Jana kulikuwa na timu kama BERKANE ORLANDO.

This Time CAFCC kuna timu nyingi lakini za kawaida sana mfano future pyramid FAR RABAT na Rivers zote za kawaida sana.
Kombe la wajane hilo[emoji3][emoji39][emoji14][emoji2][emoji14][emoji39][emoji3][emoji39][emoji14][emoji2]

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wakifika Fainali watakua wameifikia hatua ambayo Simba alifika miaka 30 Iliopita( 1993...Finali ya Shirikisho dhidi ya Stella Abidjan).Kila mafanikio kwa ngazi ya klabu Africa hapa Tanzania,Simba ndio ilifungua na kutengeneza njia. Caf wanavyoiita Giant wanamaanisha😎
Simba hajawahi kufika fainali ya SHIRIKISHO kasome tena mashindano yale yalijulikana vipi.
 
Kuivuka historia ya Simba maana yake ni kuchukua ubingwa. Kumbuka, Simba ilishawahi kufika fainali ya kombe la CAF 1993
Ndugu Mbumbumbu kwanza unatakiwa ujue CAF confederation cup lilianzishwa Lini usikurupuke. Mashindano yalianzishwa 2004 Sasa iyo 1993 inaingiza vipi apo?
 
Yanga wanajiona wako vzr baada kumshinda tp mazembe iliyoisha, kumbukeni mazembe alikua, raund champions lg, akatolewa na vipers, ambayo imepigwa nje na ndani na simba.
Na usisahau kuwaambia Vipers kampiga Yanga 2 kwa yai hapo kwa mkapa. Wakibisha nimekaa palee.
 
Na usisahau kuwaambia Vipers kampiga Yanga 2 kwa yai hapo kwa mkapa. Wakibisha nimekaa palee.
Na utambue Simba imekua ikitandikwa na Yanga apo Kwa Mkapa Kwa kadri Yanga anavyo jisikia.
 
Ndugu Mbumbumbu kwanza unatakiwa ujue CAF confederation cup lilianzishwa Lini usikurupuke. Mashindano yalianzishwa 2004 Sasa iyo 1993 inaingiza vipi apo?
Ukae tu pembeni uwaachie wanaojua kutoka Kombe la CAF hadi shirikisho
 
Back
Top Bottom