Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Komaeni hapahapa VyuraNionavyo Timu ya Wananchi isimamie hii kauli ya kwenye barua wasitishie nyau ili hao TFF wajifunze kitu.
Watu wajifunze
Hata sisi simba, ilitakiwa tuwaunge mkono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Komaeni hapahapa VyuraNionavyo Timu ya Wananchi isimamie hii kauli ya kwenye barua wasitishie nyau ili hao TFF wajifunze kitu.
Nawewe nikama mwehutu, shujaagani unaemsema, umeambiwa kuna dharula sasaunatakanini.Safi sana,sheria zifuatwe.
Itachukua muda kuheshimu sheria mbalimbali zilizowekwa maana yule shujaa alivuruga taratibu zote na sheria.
Naunga mkonoYanga ingieni uwanjani saa 11,Kisha msubili jwa muda wa dk 30 Kisha ondokeni uwanjani,ili wajinga wajinga wakome.
Naunga mkonoYanga ingieni uwanjani saa 11,Kisha msubili jwa muda wa dk 30 Kisha ondokeni uwanjani,ili wajinga wajinga wakome.
Kuna mawili hapa;View attachment 1777519
View attachment 1777520
My Take
Kama TFF haikushirikisha timu zote ni wapumbavu wa kudumu. Kwa nini walipanga mechi saa 11 wakijua kuna changamoto
Umeona eee! Tatizo lililopo sasa nyie si ajabu mukafuata huo muda wa tiefuefu.Komaeni hapahapa Vyura
Watu wajifunze
Hata sisi simba, ilitakiwa tuwaunge mkono.
Wadai na viingilio kbs.Mashabiki siyo kuondoka ,ni kushuka kwenye pitch mpira usichezwe kama man u vs liverpool
Huyu Mo nimwanaCCM .Umeona eee! Tatizo lililopo sasa nyie si ajabu mukafuata huo muda wa tiefuefu.