Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Kwa jinsi uto walivyoingiza na kutoa timu kweli wamegoma. Mama umetukosea sana yaani toka saa mbili tuko uwanjani unadiriki kutufanyia hivi?! Haya sawa mama tuendelee tu. Hizi elfu saba tulizopoteza Mungu atajalia ridhiki tutapata zingine nyie kuleni mema ya nchi tu.
 
IMG-20210508-WA0223.jpg
 
Hii si amri ya TFF ni wizara ya habari na michezo. Kuna siasa zinapenya hapa na hazikutumika busara. Kama kuna mtu inabidi awepo kwa maamuzi ya ghafla si wangeongea na timu zote tu. TFF wametii mamlaka kwa mujibu wa barua yao kujivua lawama.
😆😅😄😃😂😁😀
 
Yanga ingieni uwanjani saa 11, Kisha msubili kwa muda wa dk 30 Kisha ondokeni uwanjani, ili wajinga wajinga wakome.
Yanga msiache fursa hii ni escape route ya kibabe hii mpaka mjipange mwakani( Natania) Ila Yanga wako right.
 
Hizi ni njama za utopolo. Utopolo wako nyuma ya maamuzi ya kusogeza mechi mbele. Halafu wapate kisingizio cha kugomea mechi. Nashauri Simba waingize timu saa 11 pia, ili utopolo wakose mahali pa kutorokea! Goli 4-0 zinawahusu tu!
Uwezo wako wa kufikiria umejawa na mahaba ya timu. Basi hao utopolo waliopanga mechi saa moja ndio wamesema wataingiza timu saa kumi na moja haya basi na timu ya Simba iingize timu muda huo huo ili kuwakomoa hao utopolo ili mechi ichezwe
 
Kwanini Yanga ndio wanalalamika na sio Simba?

I think mashabiki ndio tungetoa malalamiko na sio timu
 
Hizi ni njama za utopolo. Utopolo wako nyuma ya maamuzi ya kusogeza mechi mbele. Halafu wapate kisingizio cha kugomea mechi. Nashauri Simba waingize timu saa 11 pia, ili utopolo wakose mahali pa kutorokea! Goli 4-0 zinawahusu tu!
Yanga wamesema wataingiza timu saa11 sasa sijui unawalaumu kwa lipi
 
Karia na TFF yake ni Idiots kabisa.. Wanaleta masikhara kwenye burudani za watu..
Kwanza wafahamu hyo TFF sio ya mama yao.. Watu ndo tumewaweka hapo.. Tunauwezo wa kuwatoa kwa viboko.. Wasituletee udwanz sie
 
kwa sababu mashabiki ndo mnaoingia kucheza au sio
Kumbuka muda wa mwisho kuingia uwanjani iliwekwa saa kumi jioni.

Hivyo mpaka muda huo watu zaidi ya elfu 40 wawepo uwanjani. Mechi kama ndivyo imepelekwa mbele ina maana watu watakaa uwanjani muda mrefu sana.

Muda wa kuisha mpira mpaka kurejea majumbani itakuwaje?

Fikiria pande zote kabla hujahukumu mkuu
 
Tff wanawahujumu yanga,


Kwanini wawapangie mechi za usiku ili hali wanajua fika yanga hawachezi mechi za kimataifa muda mrefu hivyo hawana uzoefu na mipira ya usiku......! Hata uwanja tu wa Ben Mkapa ni shida nadhani wangepanga mechi za yanga zichezwe uwanja wa mabatini kule kwa Masau Bwire.


Ila jamani, masaa matatu hata kwa mashabiki tu ni tafrani, sijui aliyefanywa haya maamzi Kama Yuko timamu au labda alikuwa gerezani ameachiwa Leo ndo anashituka kuona ratiba inasema 11.. !
Unaongea pumba tupu, mbona game kibao tu za ligi ndala wamecheza huo mda wa saa 1
 
Back
Top Bottom