Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kwani walioingia uwanjani wameambiwa warudi nyumbani? Manchester United vs Liverpool juzi juzi, ile nayo tutaitaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sababu ni wachezaji waliofunga au umejitungia tu hii sababuAta me nasapoti hii kitu... Muda mwingine kuna upumbavu unaendelea hauna ata faida wachezaji waliofunga ni wa simba na yanga tuu wengine hawajafunga kwel...
Nawaona uwanjani wameshaanza mazoezina ndo maana kwa kujua yote hayo timu ya yanga inaona tff wamekosea,,,
TFF wamevunja sheria na utu pia ,, wacha yanga waingize timu
Waache wapashe hadi wachoke, wabaki humo humo hadi saa 1.00 jioniNawaona uwanjani wameshaanza mazoezi
Sawa. Ila hao wizara wametoa sababu gani haswa?Hii si amri ya TFF ni wizara ya habari na michezo. Kuna siasa zinapenya hapa na hazikutumika busara. Kama kuna mtu inabidi awepo kwa maamuzi ya ghafla si wangeongea na timu zote tu. TFF wametii mamlaka kwa mujibu wa barua yao kujivua lawama.
Ideal solution.Yanga ingieni uwanjani saa 11, Kisha msubili kwa muda wa dk 30 Kisha ondokeni uwanjani, ili wajinga wajinga wakome.
Wanaruhusiwa ndio kurudi kambini, ila saa 1.00 jioni leo wawe wamekuja tena kuchezaYanga ina haki zote za kuondoa timu uwanjani na kurudi kambini.
Tuwaombee amani Yanga.Waache wapashe hadi wachoke, wabaki humo humo hadi saa 1.00 jioni
Watasubiri mpinzani wake kwa dakika 30 kisha wanaondoka zaoKimeumana yanga watapasha hadi saa 1 au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sister wewe ni mwenyeji wa nyegezi au chattleSisi yetu ni kusema "mtanikumbuka"
sehemu mingi kuna mikwamo
Kwenye Hili lazima tuwaunge mkono kuna ujinga unaoendelea wa mpira wetu kuingiza siasa watu wameingia Taifa mapema alafu kuna wajinga fulani kutoka serikalini wanataka kutupanda kichwani soka letu haliwezi kupiga hatua kwa style hii.Safi Sana Yanga kwa haya maamuziNafurahi kuona wanasimba wakituunga mkono katika hili japo wanatuita utopolo.😀
Kwa kila mwanamichezo huu ujinga wa TFF kupangiwa maagizo na wizara sio wa kuunga mkono. Wanaingiza siasa michezoniHahaha cowards
Mimba waliyokubebesha ya mapacha ushajifungua ?Yanga wanatafuta upenyo wa kukimbia kabla hatujawabebesha mimba [emoji3064][emoji3064]
Wamekula nauli yetu lazima tulale nao mbele ikifika saa moja