mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kwani kutoka saa 11 kwenda saa 1 usiku.
Nini kimeharibika?.
Kwani hii NI mechi ya Kwanza kuchezwa saa 1 usiku.?
Nini kimeharibika?.
Kwani hii NI mechi ya Kwanza kuchezwa saa 1 usiku.?
Simba sauti ipo kwa MO na Mo ni mwanaccm kindaki ndaki hawezi kwenda kinyume na serikali. Acheni kuamini uchawi mtapelekeshwa vibaya