dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Dada ujaenda uwanjani?Nionavyo Timu ya Wananchi isimamie hii kauli ya kwenye barua wasitishie nyau ili hao TFF wajifunze kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada ujaenda uwanjani?Nionavyo Timu ya Wananchi isimamie hii kauli ya kwenye barua wasitishie nyau ili hao TFF wajifunze kitu.
Lakini Hilo Jambo sio geni .
Kwanini yanga mnalalamika?.
kwani haya mabadiliko Simba hayawahusu?.
Mnachoogopa NI nini?
Kama hairibiki kitu ni mpumbavu gani aliyeweka sheria kuwa kunapotokea mabadiliko ya muda ama ratiba, timu zipewe taarifa masaa 24 kabla?
Sawa wagome Tu.
Simba magoli 3 points 3
Hakuna kinachoogopwa mkuu hujui mpira ndio maana unaleta ushabiki mbele badala ya kupigania maslah ya wengi mpira na siasa vikichanganywa ni hatari
Ingawa me ni Simba ila napongeza Huu uwamuzi wa Yanga hiv sijui Tff wanatuchuliaje sisi mashabiki pia Simba na wao walitakiwa waungane na Yanga hili upuuzi kama Huu usitokee Tena.Naunga mkono yanga baada ya hayo mazoezi ondoeni tjmu uwanjani hata wakiwakata point FIFA wapo watawatetea
Sikiliza mkuu,
Huwezi kuvunja sheria kipumbavu kwa ratiba iliyojulikana miezi mingi nyuma.
Waziri anatakiwa awajibike, katibu mkuu nae anatakiwa awajibishe, upumbavu kabisa huu
Bora wasicheze maana Kuna ambao tupo kwa safari tusingeona mchezo!
Naunga mkono maamuzi ya Utopolo. Serikali waache ukenge, wanaumiza watu.
Kama Mwinyi ni wa muhimu angekuja kuuza kitabu chake uwanjani.
Labda hii ndo itakuwa mechi ya Kwanza kusogezwa mbele muda wake.
Kweli Mimi sijui mpira.
Simba mna msemaji wa hovyo sana, naona huko fb anasema hata kama TFF watasema mechi ichezwe saa nane usiju wao wapo tayari kwa sababu wanaheshimu mamlaka.Ingawa me ni Simba ila napongeza Huu uwamuzi wa Yanga hiv sijui Tff wanatuchuliaje sisi mashabiki pia Simba na wao walitakiwa waungane na Yanga hili upuuzi kama Huu usitokee Tena.
🤣🤣🤣 ujue inabidi saa nyingine tuungane ili kuepusha huu ukiritimba mana ilipofikia hao tiefuefu wanajiona wako juu ya kila kitu.Hahahahahaha sikutegemea siku nitakuwa na wewe utopolo upande mmoja inapokuja kwenye Simba na vyura wa jangwani 🤣🤣🤣🤣🤣ila leo tuko upande mmoja. Mmeiepuka aibu ya kipigo KITAKATIFU cha 4-0 wasalimie uwapendao waambie yule BAK wa JF anawasalimia sana 😜😜😜
Mimi ni shabiki wa Simba lialia mpaka kamasi lakini kwa hili Yanga nawaunga mkono 100%.Yanga wako sahihi kabisa
Ndio tena bila sababu ya msingi ndani ya masaa 24 ni mechi ya kushangaza
Punguza hasira mkuu😂😂😂😂Bora wasicheze maana Kuna ambao tupo kwa safari tusingeona mchezo!
Naunga mkono maamuzi ya Utopolo. Serikali waache ukenge, wanaumiza watu.
Kama Mwinyi ni wa muhimu angekuja kuuza kitabu chake uwanjani.
Simba mna msemaji wa hovyo sana, naona huko fb anasema hata kama TFF watasema mechi ichezwe saa nane usiju wao wapo tayari kwa sababu wanaheshimu mamlaka.
Angalia na uzito wa game sio unaongea tuuNimekuuliza swali hii ndo MECHI ya Kwanza kusogezwa mbele muda wake?