Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu me ni simba ila leo tumezingua game ipi ya simba na yanga imechezwa usiku pale kwa mkapa... Labda za walozi sawaakuna mechi zinachezwaga saa 4 usiku.
Ebu acheni yoga na kujipa PRESHA BURE.
Mkifungwa mtakuja kusingizia MUDA
Wewe jamaa kweli mjinga kama hili jina unalotumia
Tuambie ni mechi gani nyingine iliyosogezwa mbele ikibakia masaa mawili tu mechi kuanza.Labda hii ndo itakuwa mechi ya Kwanza kusogezwa mbele muda wake.
Kweli Mimi sijui mpira.
Kama nimeota sijaenda Mdogo wangu. Mana haya yangekuwa maudhi kwangu.Dada ujaenda uwanjani?
Suala sio Uoga, suala ni Ufuatwaji wa sheria.hyo sio mechi ya Kwanza kusogezwa mbele.
Acheni UOGA
Yuko sahihi wapi ina maana serikali ilikuwa haijui kuwa siku hiyo kuna mechi
Woga huo[emoji28][emoji28][emoji28] Walijua tunatania.
ndo tunazipendaHaoo wanatoa timu wanasepa zaoView attachment 1777689
Hiyo wizara jana, juzi na siku zingine hawakuwa wakijua TFF wamepanga mechi inaanza saa kumi na moja? Tff baada ya kupokea agizo la wizara waliwasiliana na timu husika kwanza au ndio kutoa tu taarifa kwa umma? Kwa hili wamechemka, watu wanasafiri kutoka mikoani kwa ajili ya hii mechi halafu unakuja kubadilisha muda wa mechi kiholela tu, shwain zenu tff na wizaraHii si amri ya TFF ni wizara ya habari na michezo. Kuna siasa zinapenya hapa na hazikutumika busara. Kama kuna mtu inabidi awepo kwa maamuzi ya ghafla si wangeongea na timu zote tu. TFF wametii mamlaka kwa mujibu wa barua yao kujivua lawama.
Hawajiamini, chezea simba wewe?hata kama TFF wamekosea.
Hauwezi kusema kuwa muda sahihi NI ule wa mwanzo.wao ndo wanapanga.
kwanini simba hawagomi?
Mkuu me ni simba ila leo tumezingua game ipi ya simba na yanga imechezwa usiku pale kwa mkapa... Labda za walozi sawaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaeumia hapa ni yule muha alietembea kwa miguu kutoka kiigoma had mkoani dar
Sijui ataambia nini watu hii gem iki canceliwa
Huyu waziri wa michezo ajiuzuru pamoja na viongozi wa Tff kwa udhaifu waliouonesha wakuendeshwa na matamko ya serikaliKuna video naiona apa WASAFI MEDIA jamaa anasema ametoka Tunduma na alitakiwa aondoke na ndege Air Tanzania Saambili usiku waleo ko itabidi apoteze Laki moja na sabini na Tano kwaajili yakuisubiri mechi na aondoke kesho asubuhi pia kuna mashabiki wanatoka Lusaka-Zambia inatakiwa waondoke na ndege za nje usiku wa leo kwaiyo wote hao itabidi wachague kuingia hasara wacheki gem au wasepe bila kucheki gem.
Duh.!
Eeeh sio kuogopa game kama hizi inabidi mtu afungwe bila kisingiziomnachoogopa NI nini hasa.?
Hivi una uelewa kweli wewe?mnachoogopa NI nini hasa.?
Suala sio Uoga, suala ni Ufuatwaji wa sheria.
Yaani km ni uoga si wangeshagoma kucheza na Mikia tangu siku zote au hata jana au juzi?
Suala ni Sheria inasemaje? Acheni upuuzi wa kibongo na ujinga ujinga, TFF iheshimu sharia.
Sema ingekua aibuKama nimeota sijaenda Mdogo wangu. Mana haya yangekuwa maudhi kwangu.
Leo mnapigwa na kuchakaa mda utaongeaπππYanga daima,Yanga imaraππππππππππ