Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Hii si amri ya TFF ni wizara ya habari na michezo. Kuna siasa zinapenya hapa na hazikutumika busara. Kama kuna mtu inabidi awepo kwa maamuzi ya ghafla si wangeongea na timu zote tu. TFF wametii mamlaka kwa mujibu wa barua yao kujivua lawama.
Tff Ni wapumbavu unapokea taharifa ya kisiasa unaleta uwanjani?. Kwa sababu wanataka watu wamsikilize mama. Huu ni Upumbavu kutoka kwa wapumbavu
 
Kwani kutoka saa 11 kwenda saa 1 usiku.
Nini kimeharibika?.
Kwani hii NI mechi ya Kwanza kuchezwa saa 1 usiku.?
Kanuni braza, ndio maana klabu zikivunja sheria zinaadhibiwa! Wakubwa nao wajifunze kufuata sheria!
 
Hata hii waliyotoa serikali NI ya msingi pia.
Hukuona juzi man u vs liver? Sababu za msingi zilipojitokeza game ikasogezwa mbele hali ilivyokuwa mbaya zaidi game ikafutwa. Sio huku sababu za kipuuzi tu
 
Simba mna msemaji wa hovyo sana, naona huko fb anasema hata kama TFF watasema mechi ichezwe saa nane usiju wao wapo tayari kwa sababu wanaheshimu mamlaka.
Haji ni CCM ukiacha yeye kuwa msemaji wa team yetu ndio maana sishangai alichokiandika
 
semeni Tu mmeogopa .
Hyo sio sababu ya kutoa timu.
mwenzio anaongoza ligi na ana uhakika wa kukufunga lazma tumbo likuume
HYO SIO SABABU
Sababu ilikuwa ya maana kuliko upuuzi wa kumsikiliza mwanasiasa
 
Back
Top Bottom