Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Hongereni watani kwa maamuzi ya kuondoka uwanjani,

Upuuzi wa tff na bodi ya ligi ndo unasababisha yote haya...
 
Uzito wa hizi mechi mnaupa nyie ILA NI mechi za kawaida Tu.
Kikubwa muda umesogezwa mbele
Wewe jamaa usiwe mjinga kiasi hiki embu niambie
TFF, bodi ya ligi, na hiyo wizara siku zote kabla ya leo hawakujua kama kuna mechi ya Simba na Yanga inayochezwa saa kumi na moja mpaka wasubiri ifike masaa mawili ndio waje kutengua muda wa mchezo? Hapa inaonesha wamekurupuka. Kwanzia mashabiki, wapenzi wa mpira, na wachezaji wa timu husika wamedharauliwa kuwa ni watu wakupelekwa pelekwa tu kwa lolote liamuliwalo.

umesema kuwa hii sio mechi ya kwanza kusogezwa mbele. Naomba nikumbushe ni mechi gani nyingine ambayo TFF walisogeza mbele ilipokuwa inakaribia masaa kadhaa mechi ianze
 
Kipuuzi umesema wewe.
Kugomea mamlaka ndo upuuzi zaidi
Hukuona juzi man u vs liver? Sababu za msingi zilipojitokeza game ikasogezwa mbele hali ilivyokuwa mbaya zaidi game ikafutwa. Sio huku sababu za kipuuzi tu
 
Kwa hyo unapingana na serikali?.
BASI ANDAMANA
Wewe jamaa usiwe mjinga kiasi hiki embu niambie
TFF, bodi ya ligi, na hiyo wizara siku zote kabla ya leo hawakujua kama kuna mechi ya Simba na Yanga inayochezwa saa kumi na moja mpaka wasubiri ifike masaa mawili ndio waje kutengua muda wa mchezo? Hapa inaonesha wamekurupuka. Kwanzia mashabiki, wapenzi wa mpira, na wachezaji wa timu husika wamedharauliwa kuwa ni watu wakupelekwa pelekwa tu kwa lolote liamuliwalo.

umesema kuwa hii sio mechi ya kwanza kusogezwa mbele. Naomba nikumbushe ni mechi gani nyingine ambayo TFF walisogeza mbele ilipokuwa inakaribia masaa kadhaa mechi ianze
 
Hukuona juzi man u vs liver? Sababu za msingi zilipojitokeza game ikasogezwa mbele hali ilivyokuwa mbaya zaidi game ikafutwa. Sio huku sababu za kipuuzi tu
mamlaka sio chombo cha familia. kina taratibu zimewekwa. ndio haya tulikuwa tunayakataa kwa maagufuli
 
Mmeikimbia aibu 4-0 si mchezo. Jangwani kungewaka moto leo na fito zingetembezwa.
😜😜😜
Hizi kauli tunazitarajia mbona lakini si kitu mbele ya kuwanyoosha hao tiefuefu wanaoenda tofauti na kanuni zilizopo.
 
Mkuu me ni simba ila leo tumezingua game ipi ya simba na yanga imechezwa usiku pale kwa mkapa... Labda za walozi sawaa
Siungi mkono ujinga walioufanya tff leo ishu si kucheza usiku ishu ni taarifa kutolewa saa 24 kabla km katiba inavyoelekeza tushawahi kucheza usiku 2012 nakumbuka tukatoka moja moja Amri kiemba dk ya nne Bahanuzi akatusawazishia kwa penati!
 
Mmeikimbia aibu 4-0 si mchezo. Jangwani kungewaka moto leo na fito zingetembezwa.
😜😜😜
Mimi sio shabiki niko Uwanjani hapa, ila walichofanya TFF ni upuuzi sana.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Karia uwa ni taahira, sijui alipewaje uenyekiti, how on hearth could TFF postpone the match 3 hours before the match? Hili lisomali ni la kuondolewa TFF.
 
Kwan hii NI mechi ya Kwanza kusogezwa mbele muda wake?
Huwa kunafanyika makubaliano baina ya wahusika wote! Sasa leo klabu inajiandaa kwenda uwanjani yanafanyika mabadiliko tena bila klabu kuhusishwa! No hiyo haiwezekani.......
 
Siungi mkono ujinga walioufanya tff leo ishu si kucheza usiku ishu ni taarifa kutolewa saa 24 kabla km katiba inavyoelekeza tushawahi kucheza usiku 2012 nakumbuka tukatoka moja moja Amri kiemba dk ya nne Bahanuzi akatusawazishia kwa penati!
Wametukata mood
 
Back
Top Bottom