mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sawaa
Mjingamimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjingamimi
Kwahiyo kuvunjwa kwa sheria zingine ndio itoe guarantee ya kuvunja sheria?
Kama zilivunjwa kimakosa ndio turudie makosa?
Wametuharibia sana kwa kweli....Pole sana Mkuu mashamsham yote uliyokuwa nayo ya kuiona hii mechi yameingia nyongo.
Sasa kama muamuzi wa mwisho ni serikali katiba na kanuni zinatungwa ili iweje?
Ni sahihi kabisa.Kaka kwani Simba waliambiwa mapema?.
Unadhani kutoa timu uwanjani ndo SAHIHI?
Ni sahihi kabisa.
Siasa zinaharibu sana soka letu.
Mkuu si tunataka utawala wa sheria, je kunamvua kubwa, usalama hzupo sawa, kunabarafu au kimbunga jobo kimerudi?Kaka kwani Simba waliambiwa mapema?.
Unadhani kutoa timu uwanjani ndo SAHIHI?
Kwani kutoka saa 11 kwenda saa 1 usiku.
Nini kimeharibika?.
Kwani hii NI mechi ya Kwanza kuchezwa saa 1 usiku.?
Wapewe point 3 kwa sababu zipi?Simba wanapewa point 3 kilaini.
Mkuu si tunataka utawala wa sheria, je kunamvua kubwa, usalama hzupo sawa, kunabarafu au kimbunga jobo kimerudi?
Jamani matangazo ya kuzindua kitabu cha Mzee Mwinyi ni siku nyingi sana kimetangazwa.Nashangaa lawama anapelekewa tff wakati amri ya kusogeza mechi mbele ni ya wizara..tabu sana. Ila nadhani ni vizuri iwe hivyo tu, bodi ya ligi na tff wajifunze kitu, wamezoea kusogeza mechi hovyo hovyo bila sababu. Mfano waliahirisha ile ilikuwa ipigwe March kuileta leo bila sababu yoyote. Na bado imefika leo wanasogeza tena muda mbele. Wameniudhi sana.
Mkuu nikuombe utoe hiyo avatar ya Rucky dube unaiaibisha mzee
WAKUBWA WAMEZOEA KUTOA MAAMUZI NA MATAMKO YASIYOJALI MASLAHI YA WENGI.Nina wasiwasi kuna wakubwa wapo kwenye issue ya mzee Ruksa ndio waliotoa agizo [emoji6]
Vipi kuhusu pesa zetu tumelipia huduma na huduma hatujaipata!Hata mashabiki waondoke tu uwanjani. Wasitufanye tuna njaa ya mpira na wao kutuburuza buruza.
kabla sijatoa nakuuliza swali moja.
Yanga wangekuwa wanaongoza ligi wangegoma?