Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Muamuzi WA mwisho NI serikali.
Wewe NI kufuata Tu.
HUO NI UTOVU WA NIDHAMU.
Serikkali inapoleta upumbavu we say NO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muamuzi WA mwisho NI serikali.
Wewe NI kufuata Tu.
HUO NI UTOVU WA NIDHAMU.
Swali unajibu kwa swali?UNAIJUA SERIKALI?
Hizi kauli tunazitarajia mbona lakini si kitu mbele ya kuwanyoosha hao tiefuefu wanaoenda tofauti na kanuni zilizopo.
serikali inatakiwa iamue kwa mujibu wa kanuni sio utashi.
Maelekezo ya Wizara ni kuingilia chsma cha soka,WIZARA INAJUA KABISA KUWA VYAMA VYA MPIRA VINAPASWA KUWA HURU KATIKA UTENDAJI WAO.Sasa Wizara imeleta maelekezo kwa chama cha mpira,hii ni sawa na kutoa amri kwa chama cha mpira.Nimesoma comments hapa nimeona kuwa wapo wengi ambao wanaumizwa na siasa kwenye michezo kitu kinachoua soccer la bongo
Swali unajibu kwa swali?
Kwani haujaona Yanga walivyogoma? Kugoma maanake ni kupingana na maamuzi. Umesikia mjingawewe?Kwa hyo unapingana na serikali?.
BASI ANDAMANA
Mimi sio shabiki niko Uwanjani hapa, ila walichofanya TFF ni upuuzi sana.
Serikkali inapoleta upumbavu we say NO
Uko sahihi kabisa, hatuwezi kwenda mbele kwa kuruhusu siasa michezoni.mamlaka sio chombo cha familia. kina taratibu zimewekwa. ndio haya tulikuwa tunayakataa kwa maagufuli
Huwa kunafanyika makubaliano baina ya wahusika wote! Sasa leo klabu inajiandaa kwenda uwanjani yanafanyika mabadiliko tena bila klabu kuhusishwa! No hiyo haiwezekani.......
MjingamimiYes.maana labda unajitoa ufahamu.uenda hauijui serikali.
Kwahiyo kuvunjwa kwa sheria zingine ndio itoe guarantee ya kuvunja sheria?kwani kuna Sheria ngapi zimevunja hapa Tanzania?
Au mmeona hii Tu?
Kwani haujaona Yanga walivyogoma? Kugoma maanake ni kupingana na maamuzi. Umesikia mjingawewe?
Aisee! Kama mkeka basi umetik. Kongole kwa hiliKama nimeota sijaenda Mdogo wangu. Mana haya yangekuwa maudhi kwangu.