Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Shukrani sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
🤣🤣🤣 ujue inabidi saa nyingine tuungane ili kuepusha huu ukiritimba mana ilipofikia hao tiefuefu wanajiona wako juu ya kila kitu.

Wanasahau mechi ya Simba na Yanga ni mechi kubwa.

Hahahaaa. Salamu zimefika nao wanakusalimu.
 
yanga wapo sahihi huu ujinga wa masaliya ya jiwe yatatutesa sana
 
Back
Top Bottom