Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu nabishana na Layman wa mpiraHayo maneno Tu.
Hata HAO FIFA wapo chini ya serikali Na kuna vitu WANAPANGIWA.
MTAELIMIKA LINI WATANZANIA WENZANGU?
Unamuuliza nini wakati ni wajibu ni wake kutoa sababu za kuhairisha mechi kama takwa la kanuni inavyoeleza?
Mpira hauendeshwi kwa amri, ila ni kwa kanuni, taratibu na sheria.TFF si walishasema wao wameambiwa na wizara ambayo NI SERIKALI..
haya wewe umetoa TIMU UWANJANI Kwa SHERIA IPI?au Kwa amri ya Nani?
Wenye akili zao wanajua TFF wamefail, achana na huyu jamaa mjingamimi bure kabisa.[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]View attachment 1778301
Ipo chini ya Fifa
Mpira hauendeshwi kwa amri, ila ni kwa kanuni, taratibu na sheria.
Nimetoa timu uwanjani kwa sheria hii hapa chiniView attachment 1778304
Unapoteza muda huyu ni Bogus kabisaMpira hauendeshwi kwa amri, ila ni kwa kanuni, taratibu na sheria.
Nimetoa timu uwanjani kwa sheria hii hapa chiniView attachment 1778304
Wenye akili zao wanajua TFF wamefail, achana na huyu jamaa mjingamimi bure kabisa.
Aliyeziweka hizo kanuni ndo wamezivunja SHIDA ipo wapi?
TFF kusogeza muda WA mechi wamefeli?
Muda si mrefu mtajua nini maana ya TFF
Utopolo ndio maana akili zenu na viongozi zinafanana nimekuwekea hadi muda halafu unasema masaa 24 si ajabu hujui hata masaa yanavyoendaAcha uongo MKUU.
Hizo mechi ziliahirishwa kwa zaidi ya masaa 24 kabla ya muda uliopangwa awali.
Acheni kutunga uongo muhalalishe uhuni wa Tff.
Serikali kuwa na mamlaka, haimaanishi inaweza kuamua chochote inachojisikia bila kufata taratibu zilizowekwa.Kumbe wewe bwana unaonekana haujui MAMLAKA ya serikali.
Ngoja nikuache.
Nimejaribu kwenda nae taratibu tu, atanielewa tu. Japo najua anafanya makusudiUnapoteza muda huyu ni Bogus kabisa
FifaTFF IPO chini ya Nani?
Tff hawana cha kuwafanya Yanga, kwenye sakata ili.TFF kusogeza muda WA mechi wamefeli?
Muda si mrefu mtajua nini maana ya TFF
Amna kitu huyu jamaaWenye akili zao wanajua TFF wamefail, achana na huyu jamaa mjingamimi bure kabisa.
Hujui kitu nabishana na Layman wa mpira