Kasome vizuri vyanzo vyakoKuhusu ma bomba ya Sindano, kwanza hakuna dawa anayo chomwa mchezaji wakati wa mechi inaendelea iende ika mwongeze Nguvu wakati mechi inaendelea, Kama unaifahamu itaje.
Zile picha kusudi lake lilikua ni kwa Jamii isiyo fahamu namna Sayansi ya Tiba za michezo inavyo Fanya kazi na kuichafua Klabu.
Pili Tff wanayo Doping Test na kanuni za Doping Test unaweza kufanya muda wowote wa mchezo au ata siku yoyote nje ya mchezo kwaiyo watu wa Doping Test walikua wanaweza kwenda Avic Town siku yoyote baada ya vile vipicha mshenzi kutoka na kufanya Doping Test.
Doping Test inachukua Sample ya Damu/Mkojo kwaiyo mchezaji haiwezi hawezi kuondoa vimelea vya Dawa kama uwa anautumia kwakua mtumiaji anakua amesha tumia kwa muda mrefu na zinakua katika mzunguko wa damu yake au mkojo wake na lazima ata fail Test tu.
Narudia Tena Yanga wameamua sahihi kuhama uwanja ili kuondoa propaganda za kipuuzi za kuwaondoa mashabiki mchezoni na tutarudi Azam complex wakati mwingine na kuwa Kanda kama tufanyavyo miaka yote.
Tofautisha kuhama kiwanja permanent na kuhamisha mechi kwenda kiwanja kingine.Mbona ujasema sababu ya kuhamia Arusha pia sheikh amri abeid? Alafu umetaja sababu zilizopelekea muhame viwanja sasa na yanga WANAZO sababu zao zilizopelekea wahame huo uwanja na sio iyo unayoishupalia kwani ni timu Gani uwa aifungwi hapa duniani? Man city mwenyewe kafungwa mechi 4 mfululizo sembuse yanga,, zipo sababu muhimu sana zilizopelekea wahame wao sio wajinga kuwaelekeza cha kufanya
Ni uwongo tu,Azam wameshindwa kuchukua ubingws tangu 2011,wanazuazua mamboRead between the lines
Kwa maana iyo sababu zenu kuhama zilikuwa sawa lakini za wengine sio sawaTofautisha kuhama kiwanja permanent na kuhamisha mechi kwenda kiwanja kingine.
Ndio maana hapa sijataja mechi yenu na CBE kwamba mliipeleka Zanzibar kwasababu ya kuhama uwanja.
Mechi ya mzunguko wa 29 Simba Vs KMC ilikuwa ni mechi iliyopelekwa Arusha kama zawadi maalumu kwa ajili ya mashabiki wa Arusha.
Kwa hiyo mfano wako bado upo irrelevant.
Eti wanasema kwenye biashara ya mpira kwasasa kujenga uwanja ni kupoteza fedha maana ni uwekezaji mkubwa lakini return yake unangoja miaka zaidi ya 100, wanakwambia ac na inter Milan zinashea uwanjaKila siku ni kuhama tu viwanja! Ni lini timu itamiliki uwanja wake binafsi!! Yaani KMC iliyoanzishwa miaka michache tu iliyopita, inamiliki uwanja wake!! Halafu timu imeanzishwa tangu mwaka 1935! Eti mpaka leo inahemea tu kwenye viwanja vya timu nyingine!!
Kila kiongozi anayeongoza Yanga lazima kwenye kampeni zake aahidi kujenga uwanja! Ila baada ya kupata madaraka, anaanza porojo!!
Hovyo kabisa. βΉοΈ
Sababu za kipuuzi kabisa. Yaani katika hili, mashabiki mbumbumbu wa Simba na Yanga watanisamehe tu. Ila lazima ukweli usemwe. Hizi timu mbili kongwe nchini zinatia aibu kwa kukosa kuwa na viwanja vyao binafsi.Eti wanasema kwenye biashara ya mpira kwasasa kujenga uwanja ni kupoteza fedha maana ni uwekezaji mkubwa lakini return yake unangoja miaka zaidi ya 100, wanakwambia ac na inter Milan zinashea uwanja
Tukiwaambia mnashinda kwa ujanja ujanja mnabisha. Ona sasa sababu mnazotoaπ πNawapongeza Kwa maamzi haya
Azam kama hawajui Yanga ni mteja wao
Wao wanaleta uadui Kwa wateja, Sasa huu ni mwanzo
Na matangazo yetu tunahamia DSTV
Anahama nayo?200k
Nawapongeza Kwa maamzi haya
Azam kama hawajui Yanga ni mteja wao
Wao wanaleta uadui Kwa wateja, Sasa huu ni mwanzo
Na matangazo yetu tunahamia DSTV
Hata huku mtahama pia.Azam walitumiwa na Simba
Kutuvuruga uwanja wa Azam
Sasa tumeamua tumfate huko KMC complex
Moira ni mchezo wa wazi. Yote hayo ni uchawi na nguvu za madawa. Sasa mmewekwa hadharani mnaanza kulialia. Kama uwezo upo muuoneshe uwanjani bila kujali hayo maluweluwe.Kama ni mtu unaye fikiri sawasawa na si mbumbumbu maamuzi yaliyofanywa na uongozi wa Yanga Yako sahihi.
1. Kuna video siku za karibuni ambayo ilimwonyesha mtu aliyekua akimwaga vitu mlango wa kuingilia uwanja wa Azam complex kabla ya mechi ya Yanga na Azam ili wekwa mitandaoni mtu uyo akihusiahwa na klabu ya Yanga.
Kitaalamu video Ile ili rekodiwa na Camera za CCTV za Azam Complex ambao ndio wamiliki wa uwanja.
Si jambo rahisi mfanyakazi wa kawaida wa idara ya usalama kunyonya video Ile na kui peleka mitandaoni kwa Caption ya aliyekua akifanya vile ana vinasaba na Yanga Bila uongozi wa Azam fc kushirikishwa.
Baadae mtu yuleyule aliye onekana kwenye Picha za CCTV camera akionekana amekaa jukwaani wakati mchezo unaendelea akiwa karibu/pamoja na kikundi maalum Cha washangiliaji/wahamasishaji wa Azam fc.
Upo uwezekano mkubwa Azam wakishiriki katika propaganda za kuichafua Yanga kupitia mitandao ya kijamii.
2. Tukio la kuonekana kupitia video ya CCTV Camera za Azam complex ikionyesha taka zenye chupa tupu za maji chapa GSM pamoja na Mabomba ya Sindano ambayo wahusika walikua waki uaminisha umma kupitia mitandao ya kijamii kua taka zile zimetoka kwenye chumba Cha kubadilishia nguo Cha Yanga.
Jambo Lile la kuweka video za aina Ile haikufanywa kwa bahati mbaya ila kusudi lilikua Yanga ionekane uwa inawachoma wachezaji wake dawa za kuongeza Nguvu wakiwa mchezoni
Jambo la kusambaza video zile mojakwa Moja lilibarikiwa na uongozi wa Azam fc kwakua mfanyakazi wa kawaida haiwezi kunyonya video za taasisi na kupeleka kwenye mitandao ya kijamii maana angewajibishwa.
Bahati mbaya Mbumbumbu wengi hawajui kua Doping Test uwa inafanywa kwenye michezo ya Ligi yetu na Yanga hawajawahi kukutwa na Tatizo.
Bahati mbaya Mbumbumbu wengi hawajui dawa za kusisimua misuli haiwezi kuchomwa mchezaji akiwa kwenye mechi, Dawa nyingi za zilizo katazwa michezoni wahusika utumia kwa muda mrefu kabla ya mechi na si sindano wakati mchezo ukiendelea au kabla ya mchezo.
Dawa izo kazi yake kubwa ninkumfanya mchezji aweze kufanya mazoezi kwa muda mrefu kuliko kawaida ili kwenye mchezo husika awe yupo vizuri.
Doping Test si lazima ifanywe wakati wa mchezo, inafanywa kabla ya mchezo wakati wa mchezo( Half time) Baada ya mchezo au wakati na muda wowote wataalamu watakapo ona inafaa.
Kikubwa lazima awepo Daktari wa timu Yako au mchezaji/ Kiongozi wa timu Yako kushuhudia wakati sample za damu au mkojo zinapo chukuliwa.
Apa kwenye Ligi yetu Doping Test zinafanyika ni wakati Sasa wa Tff na wahusika kufafanua na kuondoa wasiwasi kwa watu wenye mchecheto juu ya swala ilo.
Viongozi wa Yanga wamefanya tathmini sahihi kuondoka Azam complex na ndio maana ya kuwa timu kubwa maana Kuna taarifa za hujuma za uhakika unazipata kutoka ndani ya Uongozi wa Azam, Nini walikua waki kifanya nyuma ya pazia.
Hatuwezi kuandika yote itoshe kusema uongozi uko sahihi.
Twende KMC complex eneo linalo kwenda kutupa Ubingwa wa nne mfulululizo.
Tuseme figisu za timu hzo zilifunga yale magoli. ππππ timu la hovyo bila bahasha halitembei.Club namba moja nchini Tanzania na ukanda wote wa kusini mwa jangwa la Sahara, mabingwa mara Tatu mfululizo wa Ligi kuu bara sasa watautumia uwanja wa KMC Complex, Mwenge kama uwanja wa Nyumbani.
Hii ni baada kufanyiwa figisu na hujuma za wazi zilizobainika kutoka kwa timu pinzani zilizoungana kuitaka kuishusha Yanga, Hatimaye uongozi umeshtuka mapema na bahati nzuri bado ligi ndiyo kwanza inaanza, Hivyo imekuwa wakati sahihi kwa viongozi kuchukua hatua haraka.
View attachment 3148013
Zile picha mjongeo zilizopigwa na kusambazwa makusudi ulijua zilikuwa ni za yanga? Je yule mtu aliyeonekana anamwaga vitu kwenye camera ulijua ni yanga ni wa YANGA kabla ya mechi na Azam? Je unapokuwa na mechi si lazima timu mwenyeji ikague uwanja kwanza kwanini walikuwa wanakataa? Hizo ni sababu muhimu zilizoifanya yanga aondoke pale kwakuwa Azam ndio Wenye server ya CCTV camera kwa maana iyo walikuwa wanatumia zile picha kuichafua yanga kama taasisi, na zingekuwa za kweli tungewaelewa but dhumuni lao lilikuwa baya ndio maana wakafanya vile!Ndio
Au we unaweza kuniambia ni ipi sababu ambayo imewafanya muhame uwanja?
Kwaiyo kwa akili yako ndogo unaamini yanga anashinda kwa nguvu ya madawa?Moira ni mchezo wa wazi. Yote hayo ni uchawi na nguvu za madawa. Sasa mmewekwa hadharani mnaanza kulialia. Kama uwezo upo muuoneshe uwanjani bila kujali hayo maluweluwe.
Kurukaruka siyo dawa ya ulimbo. Wachezaji wanakesha Club kuvuta shisha mnashindwa kuwadhibiti kipigo kitawaandama hadi mkome.Hiyo ni baada ya vipigo viwili mfululizo.
Hapa sasa ndio kuna kitu ambacho uongozi wa Yanga unatuacha njia panda sisi wadau wa soka.
Kama management iliona tatizo la wao kupoteza mechi mbili lilisababishwa na uwanja, kwanini wamuwekee vikao Gamondi usiku wa manane?
Tushike lipi sasa?
Tatizo ni uwanja au ni kocha?
Azizi Ki amekuwa extreme free kwenye kumbi za starehe akila shisha, kitu hatarishi kwa afya ya mchezaji lakini pia hata kwa regular person ambaye duties zake sio soka.
Bado hawalioni hilo kama tatizo wameenda kwenye uwanja?
Kwa research ndogo nikiyofanya kwa mashabiki wa Yanga waliokuwa wanazungumzia sababu za kupoteza kwa mchezo wengi walitaja udhaifu wa safu yao ya ulinzi.
Wengi walitaja kukosekana kwa wachezaji kadhaa ambao ni muhimili wa timu kuwa ndio sababu iliyo wagharimu kupoteza mechi.
Hii ya uwanja kuwa ni sababu sioni kama waliofanya maamuzi walifikiria sahihi au ndio zile emotions baada ya kufungwa.
View attachment 3148007