Utetezi wako umejaa bias nyingi.
Swala.la ushrikina hilo sio mjadala wa kuanza kutumia nguvu kupinga kuwa umeonewa.
Ushirikina ni sehemu ya uendeshaji wa timu yenu kwasababu misingi yenu ipo zaidi kwenye utamaduni wa kiasili.
Bodi ya ligi imewalamba faini kwa michezo hiyo hiyo ya kishirikina sasa kuwatuhumu Azam kuwa wamewafanyia mchezo kuwachafua hiyo haiwezi kukubalika.
Kusema Azam wamewatengenezea script kwa kuonyesha video inayoonesha mabomba ya sindano. Sidhani kama ni hoja ya kweli.
Kwasababu gani nasema hayo.
Ni kwasababu Azam inajua ukubwa wa hiyo tuhuma na uhatari wake endapo ikafikishwa kesi mahakamani na mlalamikaji akawa ni Yanga akidai kuchafuliwa kwa shutuma za uongo.
Kama ni tukio la uongo, Azam angewezaje kuthibitisha mbele ya mahakama kuwa tukio hilo la hayo mabomba ya sindano yanaihusu Yanga?
Maana yake mpaka Azam aliamua kuachia hizo video ni kwamba alikuwa na confidence kuwa upo ushahidi mwingine extra ambao anaweza kuji defend iwapo Yanga ikaamua kumchukulia hatua za kisheria.
Swali ni kwanini Yanga haijasema chochote kuhusiana na shutuma hizo?
Kwanini Yanga haijapeleka malalamiko kwenye ngazi za mahakama ili kumuwajibisha aliyemchafua kwa tuhuma za uongo?
Ndugu mbumbumbu kwanza inaonekana ni mchanga sana katika mambo ya mpira wa miguu ya Nchi hii.
Yanga uwa inapigwa fain kwa kua haipiti kwenye maeneo yaliyo tegwa/mwagwa ushirikina wa timu pinzani kwakua uwa Wana advance part Yao inayo wapa taarifa ya Kila kitu kinachokua kimefanywa kabla ya mchezo kwaiyo uo si ushirikina bali ni kukiuka kanuni za mchezo na ndio maana hujasikia Tff iki iadhibu Yanga kwa taarifa Yao kuhusisha na ushirikina.
Simba ndio timu ambayo kwa miaka isiyo pungua kumi mfululizo imekua ilitajwa na Tff kujihusisha na ushirikina mojakwa Moja, yaani taarifa inaitaja Simba kujihusisha kufanya vitendo vya kishirikina kabla ya mchezo na iyo si apa Nchini tu ata Nje ya mipaka na mara ya mwisho Simba ilipigwa fain na CAF kulipa Dola 10,000/=
Swala la video za kuichafua Yanga lengo lao Azam ni kuchafua Taswira ya Yanga.
Tunasema Azam wamehusika kwakua zile picha na Video zimetoka katika majengo ya Taasisi Yao na hakuna mfanyakazi anaweza ku nyonya video au picha za taasisi na kutupia mitandaoni bila mwajiri wake kuhusuka/kufahamu.
Yanga hawawezi kulipeleka swala Mahakani kwakua hairuhusiwi mambo ya soka kwenda Mahakamani labda wangepeleka Tff kwakua wanazo kamati zifanyazo kazi kama mahakama ila ki uhalisia ni mambo yanayo kosa ushahidi wa Moja kwa Moja na Yalitengenezwa ili kuharibu image ya Yanga kwenye Jamii.
Yanga hawaja Toka hadharani kuishutumu Wala kuishitaki Azam kwakua kwasasa kufanya hivyo itaonekana kama ni kutafuta sababu zisizo na Msingi dhidi ya mechi walizo poteza ila ushahidi wa ki Mazingira inaonyesha hivyo.
Itakua ni kama Wazee wa Simba walivyo kua waki Bwabwaja vitu vya hovyo baada ya Matokeo yasiyo ridhisha na kutengeneza mijadala ya hovyo Nchini.
Yanga wameamua kuchukua maamuzi sahihi ili kuto toa mwanya kwa mjadalauo ku trend na matukio ayo ya kutengenezwa kujitokeza Tena.
Kuhusu ma bomba ya Sindano, kwanza hakuna dawa anayo chomwa mchezaji wakati wa mechi inaendelea iende ika mwongeze Nguvu wakati mechi inaendelea, Kama unaifahamu itaje.
Zile picha kusudi lake lilikua ni kwa Jamii isiyo fahamu namna Sayansi ya Tiba za michezo inavyo Fanya kazi na kuichafua Klabu.
Pili Tff wanayo Doping Test na kanuni za Doping Test unaweza kufanya muda wowote wa mchezo au ata siku yoyote nje ya mchezo kwaiyo watu wa Doping Test walikua wanaweza kwenda Avic Town siku yoyote baada ya vile vipicha mshenzi kutoka na kufanya Doping Test.
Doping Test inachukua Sample ya Damu/Mkojo kwaiyo mchezaji haiwezi hawezi kuondoa vimelea vya Dawa kama uwa anautumia kwakua mtumiaji anakua amesha tumia kwa muda mrefu na zinakua katika mzunguko wa damu yake au mkojo wake na lazima ata fail Test tu.
Narudia Tena Yanga wameamua sahihi kuhama uwanja ili kuondoa propaganda za kipuuzi za kuwaondoa mashabiki mchezoni na tutarudi Azam complex wakati mwingine na kuwa Kanda kama tufanyavyo miaka yote.