GSM anayemiliki team zaidi ya 1 ktk league husika je? Hili hulioni?By the way, HIVI KIONGOZI WA CHAMA CHA SOKA KUWA NA TIMU KWENYE MASHINDANO AMBAYO CHAMA HICHO CHA SOKA KINAYASIMAMIA, SIYO CONFLICT OF INTEREST?
FIFA haipokei bila kupitia CAF. hata hili hujui?Hapo sasa.Hapo wangaandika direct kwenda FIFA.
Mbona una hasira sana? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona unajitahidi leo kila uzi kujichekesha kama Malaya kaona pesa. Unanijiliwaza jana kubamizwa 2 kwa nunge. Una kazi ya kujichekesha tu toka jana kwenye kila uzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunajua huu ni ugeni wenu tu kwenye CCL
MTAZOEA TU [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shutuma ya match fixing itawaelemeaKosa La Mamelod ni lipi?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama mirrison, feisal waliwagaragaza mtamuweza motsepe? [emoji857][emoji389][emoji385]
Pamoja kwa Arsenal. Goli gani la Azizi K mkuu? Au unamaanisha jaribio la Azizi Ki?Leo hamlali majiran zangu, nikilewa mnisamehe kwa hizi kelele na vile arsenal imeshinda 😅
Goli la azizi ki limenirudisha kwenye ulevi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukamatwe haraka, kichaa kishakupanda kichwani. WoiiiihWewe akili huna, ushahidi wa video upo na goli la wazi lile la Yanga limekataliwa sbb ya match fixing, alafu mambo ya Ihefu ni issue tofauti, acha kuwa shoga wa mpira unachanganya mambo sana wewe nimalizie nyoko kabisa
Lile ni goli lililokataliwa sio jaribio mkuu.Pamoja kwa Arsenal. Goli gani la Azizi K mkuu? Au unamaanisha jaribio la Azizi Ki?
Hivi ina maana hujui tofauti ya umiliki na ufadhiri? Motsepe anawafadhiri masandawana au anawamiliki?GSM anayemiliki team zaidi ya 1 ktk league husika je? Hili hulioni?
Okay hizo sikuwahi kuzifuatilia mkuu.Mkuu rejea Mechi ya kufuzu fifa Wualification ya Senegal na South afrika mwaka 2017..
Rejea mechi ya Ligi ya South Africa, a match between South African clubs Polokwane City and Baroka FC in the South African...
Icnidence zinafanana na mechi zilirudiwa
Aliyelikubali ni nani na aliyelikataa ni nani? Sikumbuki goli lilokubaliwa kisha likakataliwa.Lile ni goli lililokataliwa sio jaribio mkuu.
Ukwasi wa boss wa Mamelodi unaujua?Rais wa Yanga = Rais wa Vilabu barani Afrika
VAR na wote mnaopinga sio goli wote ni wale waleAliyelikubali ni nani na aliyelikataa ni nani? Sikumbuki goli lilokubaliwa kisha likakataliwa.
VAR walitizama endapo lile jaribio lilivuka msitari wa goli.
Vyote ni sawa tyuuh.Hivi ina maana hujui tofauti ya umiliki na ufadhiri? Motsepe anawafadhiri masandawana au anawamiliki?
Hii labda kwa 5imba pekeeVyote ni sawa tyuuh.
Poleeeee, mmetolewaaaaaaaHii labda kwa 5imba pekee