Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Wewe muongo sana tena sana!!!...
 
Imagine 34 kwa miaka 10 na itakuwa inaongezeka kila mwaka ila kuna watu wanatapeliwa huko 20B ndiyo thamani ya timu yao kwa mpaka dunia iishe
 
Unauliza maswali muhimu sana. Ni muhimu details za mkataba ziwekwe hadharani au isije kuwa janja janja kama za yule tapeli MO anayedai ametoa 20B lakini hadi hii leo ameshindwa kuonyesha evidence ya kutoa pesa hizo.


i.e Azam watakuwa wanatengeneza maudhui/contents kuhusu Yanga na kuzirusha kwenye Channels zao?..kama Yanga TV vile au?
 
Hakika mzee kilomoni tutamkumbuka Sana. Ila bado hatujachelewa maana haya mabadiliko kisheria bado hayajapita. Moo anyanganywe timu faster, mkataba uwe reviewed haraka Sana, tukimchekea Nyani tutavuna mabuwa wanasimba wenzangu.
Acheni chokochoko, wewe umewahi kuichangia shingapi Simba Sc mpaka hapo ilipofikia? Kama ni kubadilisha mfumo fanyeni hivyo lakini si kuanza kumtusi MO aliyeikuta Simba Sc haijiwezi,hio ni ubwege.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa najiuliza azam wanakwama wapi na timu yao?maana wanatakiwa kuwa moja ya timu bora Africa [emoji288]
Azam itachukua muda mpaka ilipe kibiashara, hasa Tanzania.
Haina mashabiki. Angalau Coastal Union.
 
Hoja ya baadhi ya hela kwenda kwa Mo me naona imekaa kijinga sana na wanaochochea ni watu wenye roho za korosho kwa kuhisi kuwa Mo atafaidika sana.

Ikiwa kabla ya huo mkataba huyo Mo aliifanyia Simba Sc sawasawa na matakwa ya kisheria na kila shabiki akaona mafanikio, inakuwaje leo mnataka kumuona kama mwizi ambae atatokomea na hizo fedha? Yani wakati anaikuta simba haina kitu mlifurahi yeye kutoa hela zake kwaajili ya Simba ila leo hii baada ya kuona pesa zinaanza kuingia Simba ndo mumuone hafai? Daaaaah[emoji23], kweli wabongo nyoko.


Na utakuta wanachangia maoni negative kuhusu Mo, hawajawahi kutoa hata 50 kwaajili ya Simba Sc.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba hilo deal limekuwa facilitated by Senzo au? [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa taarifa yako, baada ya Yanga ni Simba, tutakaa mmsifie pia Babra.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…