Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Unaongea kishabiki sana
 
Wabongo bwana.Karia alipoingia mkataba watu walitoka povu humu ohhh kwanini miaka 10 kwanini isiwe 5 leo imeingia timu pendwa mkataba wa miaka 10ile ile wote wsmerudi kusifia.ama kweli wajinga ndio waliwao.
 
Wabongo bwana.Karia alipoingia mkataba watu walitoka povu humu ohhh kwanini miaka 10 kwanini isiwe 5 leo imeingia timu pendwa mkataba wa miaka 10ile ile wote wsmerudi kusifia.ama kweli wajinga ndio waliwao.
Kulalamika kule, ndiyo kumeipa Yanga Bilioni 34.8 na serikali VAT ya karibu Bilioni 8.
Ile hela pekee haikutosha hasa kwa Simba na Yanga, zilistahili fedha zaidi.
Au wewe uliona poa tu maisha yaendelee?
 
Wabongo bwana.Karia alipoingia mkataba watu walitoka povu humu ohhh kwanini miaka 10 kwanini isiwe 5 leo imeingia timu pendwa mkataba wa miaka 10ile ile wote wsmerudi kusifia.ama kweli wajinga ndio waliwao.
Mkataba wao unaongezeka kiwango cha malipo wakati wa kwetu hakuna alafu ile 20 bil. uwenda imejumuisha na VAT.
 

Umeandika point nzuri ila hapo mwishoni ujidhihirisha weww ni nyumbu lia lia
 
Wabongo bwana.Karia alipoingia mkataba watu walitoka povu humu ohhh kwanini miaka 10 kwanini isiwe 5 leo imeingia timu pendwa mkataba wa miaka 10ile ile wote wsmerudi kusifia.ama kweli wajinga ndio waliwao.

Nyumbu hao
 
Social media inaingilia nini TV rights?
Man U ana social media , app na Man U TV vipi vimeingiliana?
Contents zao ni tofauti, na haki za hizo media platforms zipo tofauti.
MANUTV inakuja first kwenye video contents, zingine zinafuata.
Pia pages za Viongozi wao hazitangazi mambo ya Club, tofauti na pages za MO au Barbara.
 
Ahaa wapi. Labda Mo Dewji hasiwepo.
Mo anawatesa sana nyinyi vidimbwi na bado kuna moto wa gesi kaandaa kuwachoma zaidi msimu ujao.
Tukutane Kigoma nikakupasue bila huruma.
 
Tofauti mkataba wa Simba mmiliki Ni Familia ya Mohamed Dewji Mo, hapo ndipo Yanga African wamepiga bao kubwa.
Yanga inayodaiwa kua ya wananchi, niambie kwenye hiyo bilion 34.5 aliyoweka azam we mwananchi yakwako bei gani?
 
Contents zao ni tofauti, na haki za hizo media platforms zipo tofauti.
MANUTV inakuja first kwenye video contents, zingine zinafuata.
Pia pages za Viongozi wao hazitangazi mambo ya Club, tofauti na pages za MO au Barbara.
Page ya barbra na Mo zinatangaza habari za club?
Tangu lini, hivi mtu kusema tusikate tamaa ni habari ya club?
Umetanguliza ushabiki mbele kiasi kwamba huoni.
Ni content ipi ya TV imekuwa covered na social media za simba?
Ungeniambia youtube channel ningekuelewa, napo bado sio sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…