Ndio maana wanapenda vipensi....This is only in Africa
Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.
Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL
Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
Ukija kuamka utakuta mdhamini na TFF wanafata tutakacho Yanga, mana naona umelalaNi utoto tu,wakikua wataacha
Mdhamini hawezi kubali kudhamini ligi bila yanga,bora ingekuwa simba huenda wangekubali kuachana nayo. Yanga ni timu kubwa nduguWasipewe mgao wao SIMPLE Mkuu.
Simba ni katimu kadogo so hakawezi kusikilizwa. Si unaona hata sahizi ukitaja Singo watu Na mikia yao inafyata?Hivi nembo ya CAF ni nyekundu? Kama si nyekundu mbona Simba aliivaa kwenye mashindano ya vilabu bingwa barani Africa.
Hawa jamaa wanakwama wapi?
Kwa akili hizi mtazidi kuwa ombaomba mpaka mwisho,yaani leo ombaomba iwe kubwa kuliko vodacom.Yanga ni brand kubwa kuliko Vodacom so wanaopaswa kubadili rangi ni Voda.
This is only in Africa
Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.
Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL
Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
[/Q KIPIGO CHA RUVU BADO KINAWACHANGANYA MBONA WANAJITIA KITANZI WENYEWE RANGI INA NINI
Mdhamini hawezi kubali kudhamini ligi bila yanga,bora ingekuwa simba huenda wangekubali kuachana nayo. Yanga ni timu kubwa ndugu
Wewe umeendelea na nini? Nenda mbumbumbu wa mambumbumbu weeeTff inabifldi wawe wakali kwenye hili. Yanga wana mambo ya kuzamani ndio maana timu haiendelei
Kama nyie mlivyoishia kwa ud songo. Endeleeni kumkatikia moUkubwa wao unaishia jangwani TFF haiwezi kukubali kuyakosa mabilioni ya mdhamini.
Kama nyie mlivyoishia kwa ud songo. Endeleeni kumkatikia mo
Kwani hujui njano na kijani ni moja ya rangi za bendera ya taifa? Acha umbumbumbu wako mbwa weeHuo udwazi tu, kile kinembo kinaathiri nini? Mbona TFF wametuletea jezi za Taifa Stars za njano (mazarau haya [emoji35]) lakini mabaharia tumenyuti tu!
Wee ni kipi cha maana ulichoandika?Kama huna cha maana cha kuandika kaa kimya. Matusi hayahusu kitu humu.
pale kalia atakapo ondoka madarakaniHuu ujinga sijui utaisha lini