Yanga yakubali kichapo cha kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara

It will turn out to be total shame and disgrace in Yanga! (Ni aibu na fedheha kamili ndani yaTanga)!
Acha ni flow kwa mistari ya moto, utabiri wako umetimia kama maono ya paroko.../

Funga macho piga goti tuombe, Mungu ajalie tupate goli kwa penati ya tonombe.../
 
Hahaa wamekaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Walikua wanabana pua etiii sisi hatufungwi mpaka ligi inaisha sasa wagosi wametoa bikira sisi tunakuja kuwapa MIMBAAAA KABISA SHENZIIIIIII
 
Watani mm michezo kwangu ni burudaniπŸ˜†
Burudani ukiwa unashinda

Mwangalie vizuri leo Mwakalebela utagundua ule ucheshi wake ambao anakuaga nao yanga ikifunga haupo

Hiyo inathibitisha kwamba furaha ikikosekana hakuna burudani
 
Kitu ambacho Watu wengi hawakifahamu ni kwamba Alkasusu asili yake imeanzia Tanga! Sasa unadhani Binti wa Utopolo akatize mbele ya Waasisi wa Alkasusu huku kavaa Kijora wamuache Salama kweli? Wamemtoa Bikira.
 
Hawa utopolo kwa sasa siyo wa kubet kushinda, elfu 2 yangu imechukuliwa hivi hivi tena na demu bana....
 
Shauri zake, kwani haoni watu wakiruka ruka mle uwanjani, mazoezini hawaoni? Wateseke tu madhabiki lkn siyo hao
burudani ukiwa unashinda

mwangalie vizuri leo mwakalebela utagundua ule ucheshi wake ambao anakuaga nao yanga ikifunga haupo

hiyo inathibitisha kwamba furaha ikikosekana hakuna burudani
 
Utopolo wamekeketwa na kutolewa bikra kwa siku moja, chezea Wagosi wewe
 
Mautopolooooooo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Angalau huku michezoni umekuwa mjanja tofauti na kule jukwaa letu pendwa huwa unakuwa na utopolo mwingi mnoo🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…