Yanga yakubali kichapo cha kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara

We mpumbavu ile mechi ilikuwa kombe la FA na mechi ilipangwa na TFF, nyau wewe
 
Jamani si tulikubaliana kwenye kikao kilichopita kuwa Yanga LAZIMA wapewe penati kwenye kila mchezo wao. Kwa nini refa hajawapa hiyo stahiki yao hadi leo wakafungwa?

Hivi mechi kamishina yuko wapi? Popote alipo mwambieni yeye na jopo lake waandike barua ya kujiuzulu haraka sana

By kilo 800...
 
Yule aliyebebwa kwa machela kutoka airport hadi kidimbwini anaitwaje vile na ameshafunga goli ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…