Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 998
- 2,506
Haikustahili kuwa goli ileTulia mtani, hii n case yetu haiwahusu😆😆😆
Sarpong anakera aisee😆😆Yacub kaja kuleta uhai, angalau sasa timu inatembea unaiona wanatengeneza nafasi zinaonekana sio Kama ule utopolo wa Sarpong
Na boti ya azamHuyu dogo Farid alifika vipi spain?
Yaani mpk unashangaaHuyu dogo Farid alifika vipi spain?
Vipi wanatia huruma nini...?Maskini Yanga
Uzani wamefumaniwa hawa watu wakacheze pooltable kwakweri waachane na mipiraVipi wanatia huruma nini...?
Kachezeshe weweTuisila kacheza faulo
Uto kabebwa hapa
Kashtaki kwa TFFTuisila amefanya faulo kabla ya kufunga
Mbeleko fc
NaaaamKwa kweli leo hali ya utopolo inatia huzuni sana hadi nimejikuta nawahurumia yani leo nawaombea washinde aisee, mtu mzima kama huyu kuaibishwa kila saa haipendezi kabisa.
Faridi atoke aingie Kaseke anauwezo wa kuforce kwenye match kama hizi na nature ya kiwanja kuliko huyu Faridi.
Mtapigwa tu utopoloLile kundi la kuihujumu Yanga liko kazini mitandaoni kupost utumbo badala ya kutulia na timu roho Mkwakwani ama kweli mbumbumbu ni mbumbumbu tu
Mtake msitake leo lazima mkeketwe tuHatuwezi kufungwa na Watu pori [emoji1]
Hakuna Timu Ya Kufunga Hapa [emoji1]Mtake msitake leo lazima mkeketwe tu
Hakuna Timu Ya Kutufunga Hapa [emoji1]Mtake msitake leo lazima mkeketwe tu
Bila ya ushabiki Lile Ni goli dhahiri kabisa Wao Walivyomsukuma mwanzo hukuona na Refa akapiga kimyaIla tuseme tu ukweli bila ushabiki hili goli la Kisinda lina utata ni dhahili kabisa Kisinda alicheza Faulo kwa beki Cost kabla ya Kufunga goli.
Hili halikustahili kuwa goli ni makosa tu ya mwamuzi.