Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mi nahisi Yanga ndio haina hadhi ya kuwa na supokoSarpong katoka kaingia Yacub, bora aisee maana huyu jamaa ni mzigo kwa timu hana hadhi ya kucheza yanga uto huyu kabisa, ni kweli uto ni uto tu lakini huyu sasa kazidi.
Kwasababu ukianza kuangalia utaweza kujiuliza kipi kilichowafanya ken gold waombe mechi na yanga na sio simba?
Ken gold waliona yanga ndio timu ambayo wana wiana uwezo na ni kweli na ndio maana hata gemu ken gold alicheza vizuri kumzidi yanga japo walibustiwa na kile ki penalty
Na ndio maana hata baada ya ushindi huo 99% mashabiki wa yanga hawakuufurahia huo ushindi