Yanga yakubali yaishe, kumlipa Mayele Milioni 40 ili abaki. Tutegemee hujuma kutoka kwa wachezaji wenzake

Yanga yakubali yaishe, kumlipa Mayele Milioni 40 ili abaki. Tutegemee hujuma kutoka kwa wachezaji wenzake

Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.

Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.

Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.

More money poor performance.
Maumivu ya moyo.
 
Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.

Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.

Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.

More money poor performance.
Sidhani atafikia kiwango walichofikiria wangekula hela tu mwakani ata floppy mbaya
 
Wanasimba hebu tuachane na mambo ya yanga hayo hayatuhusu, tujengeni timu yetu kwaajili ya new season isije ikafika December tukaanza tena kusema mambo ya bahasha, kumbe tulikosea kwenye usajiri wa quality players
 
Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.

Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.

Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.

More money poor performance.
Unalia nini sasa?
Mambo ya wananchi yanakuhusu nini?
Wananchi wamezuia furaha yako sio?
 
Huu Ni uninga sna tumefanya kumlipa mayela pesa zote hzo bila sababu Bora tungemuuza tu kwa hasara ila siyo kubaki pale kudidimizawachezaji wengine wazaa haswaa


Safari yanga tutapoteana
 
Sio nyingi kwa kiwango alichoonyesha, ni fair. Swali ni kwamba, kwanini Yanga haikuopt kumuuza kwa pesa nzuri?
 
Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.

Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.

Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.

More money poor performance.
Hiyo million 40 angeenda uarabuni angeipata hata mara 10.
 
Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.

Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.

Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.

More money poor performance.
Ronaldo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom