beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Maumivu ya moyo.Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.
Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.
Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.
More money poor performance.
Wabongo roho mbaya inatutafunaIla sisi watz niwatu waajabu sana fei wawatu mkaona 4m mnayomlipa Ni kubwa Sana na Bdo haijakatwa pesa ya dalali Huku wageni mkiwapa 20m + shnz kabsa
Sidhani atafikia kiwango walichofikiria wangekula hela tu mwakani ata floppy mbayaSiwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.
Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.
Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.
More money poor performance.
unaumia nini hela za mwanaume mwenzako?Sidhani atafikia kiwango walichofikiria wangekula hela tu mwakani ata floppy mbaya
Uzur wa JF vichaa kama ww hamkosekani.. ndio catalyst ya kunogesha jukwaaWewe mwenye akili mbona upo hapo mburahati
Unashauri wenzako wakati wewe umekwama kwenye umasikiniUzur wa JF vichaa kama ww hamkosekani.. ndio catalyst ya kunogesha jukwaa
Unateseka ukiwa wapi? Tabia za kishoga ni kupanga matumizi ya pesa ambayo si yako, ndio sababu mnapumuliwa tu siku hizi.Ila sisi watz niwatu waajabu sana fei wawatu mkaona 4m mnayomlipa Ni kubwa Sana na Bdo haijakatwa pesa ya dalali Huku wageni mkiwapa 20m + shnz kabsa
Unalia nini sasa?Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.
Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.
Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.
More money poor performance.
Umetoa sh ngapi?Huu Ni uninga sna tumefanya kumlipa mayela pesa zote hzo bila sababu Bora tungemuuza tu kwa hasara ila siyo kubaki pale kudidimizawachezaji wengine wazaa haswaa
Safari yanga tutapoteana
Kabisa...Mayele kama ana akili angeondoka mapema.. uarabuni
Injinia fala tu,anaeshusha nondo ni Ghaaribsi mlisema ati kuna ukata pale Avici!!!saa hii mmeanza porojo,ngoja injinia aanze kushusha nondo sasa mkimbie mji kwa muda
Hiyo million 40 angeenda uarabuni angeipata hata mara 10.Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.
Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.
Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.
More money poor performance.
Nenda na weweHiyo million 40 angeenda uarabuni angeipata hata mara 10.
Ronaldo?Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge.
Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima.
Ila kwa starehe za Dar es Salaam msimu ujao akifilisha goli 12 mniite fala.
More money poor performance.