Yanga yakubali yaishe, kumlipa Mayele Milioni 40 ili abaki. Tutegemee hujuma kutoka kwa wachezaji wenzake

Na wangeshindwana pia ungekuja na stori ya kubeza tu. Pathetic!
 
Yaani mashabiki wa simba hamjui mnalolitaka!
 
Huu Ni uninga sna tumefanya kumlipa mayela pesa zote hzo bila sababu Bora tungemuuza tu kwa hasara ila siyo kubaki pale kudidimizawachezaji wengine wazaa haswaa


Safari yanga tutapoteana
Wewe siyo Yanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…