Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kamati ya Sheria na Nidhamu ya Young Africans imemuelekeza Feisal kuwasilisha utetezi wake juu ya tuhuma zinazomkabili ndani ya siku 7.
Pia Kamati imemuelekeza kuhudhuria Kikao cha Kamati ya Sheria na Nidhamu kitakachosikiliza mashtaka dhidi yake jana tar 24 Mei 2023 pamoja na muwakilishi wake (endapo angependa kufanya hivyo) ili kusikiliza yeye pamoja na mlalamikaji na kufanya maamuzi juu ya tuhuma zinazomkabili
Endapo atashindwa kuwasilisha utetezi wa maandishi dhidi ya tuhuma zinazomkabili ndani ya muda au kutofika kwenye kikao, basi kikao kitaendelea bila uwepo wake.
Pia Kamati imemuelekeza kuhudhuria Kikao cha Kamati ya Sheria na Nidhamu kitakachosikiliza mashtaka dhidi yake jana tar 24 Mei 2023 pamoja na muwakilishi wake (endapo angependa kufanya hivyo) ili kusikiliza yeye pamoja na mlalamikaji na kufanya maamuzi juu ya tuhuma zinazomkabili
Endapo atashindwa kuwasilisha utetezi wa maandishi dhidi ya tuhuma zinazomkabili ndani ya muda au kutofika kwenye kikao, basi kikao kitaendelea bila uwepo wake.