Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
TrueMasponsor wanampa kiburi,ila kuondoka kwake hakujaweza kuharibu move ya Yanga kuelekea kuchukua Vikombe,so wampe soft exit akapambanie maisha mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TrueMasponsor wanampa kiburi,ila kuondoka kwake hakujaweza kuharibu move ya Yanga kuelekea kuchukua Vikombe,so wampe soft exit akapambanie maisha mbele.
Sijui utekelezaji wa hukumu za mpira ziko tofauti na zingine? Hivi ukienda mahakama ya mwanzo ukahukumiwa miezi sita jera lakini wewe hujaridhika na hukumu ukawa unakusudia kukata rufaa, inabidi utafute haki yako ukiwa jera ukitumikia hukumu au unajifungia ndani mwako ukisubiri kukata rufaa?
Upo nyuma ya nondoSijui utekelezaji wa hukumu za mpira ziko tofauti na zingine! Hivi ukienda mahakama ya mwanzo ukahukumiwa miezi sita jera lakini wewe hujaridhika na hukumu ukawa unakusidia kukata rufaa, inabidi utafute haki yako ukiwa jera ukitumika hukumu au unajifungia ndani mwako ukisubiri kukata rufaa?
Sasa mbona mhukumiwa anatafuta haki yake bila kutekeleza hukumu? Hii haiwezi kuitwa kuidharau mahakama?Upo nyuma ya nondo
Feisal anatakiwa anyonywe maviKipindi kile ilikuwa kila Yanga anapokaribia kwenye mechi kubwa halafu ikaonekana Feisali ameenda TFF kuhusu swala lake na Yanga, ikitafsiriwa kama njia ya kuwatoa Yanga mchezoni
Leo Yanga wenyewe ndio wameanza uchokonozi bila kujali kama wapo kwenye wiki ya kujiandaa na mechi kubwa.
Hatuwezi changia kiaziKama mnajiamini mchangieni