Yanga yamshitaki Feisali Salum kwenye kamati ya nidhamu

Yanga yamshitaki Feisali Salum kwenye kamati ya nidhamu

Sitashangazwa hata kidogo. Hata Morriston haikunishangaza. Wala sijawahi mshangilia Morriston. Mm nazungumzia mantiki ya mkataba na uvunjaji wake. Ni sawa na wewe uache kwenda kazini kisa unalipwa mshahara mdogo???
Ulipokuwa shule ulifundishwa kwamba ili kuvunja mkataba/kuboresha unatakiwa kutoroka kazini???
Kazini watu wanaenda kutafuta maslahi. Hata hizo kazi zimefunguliwa ni kutafuta maslahi. Hapo kinachokushangaza nn kama Fei anatafuta maslahi? Binafsi ndio katika ujana wangu nimeshawahi ondoka kazini kwa mhindi kwa notice ya masaa 24. Yaani niache maslahi ya maana sababu natakiwa nikae kikao na nani sijui kutoka India? Unadhani Yanga wanapigania nn zaidi ya maslahi yao kwa Fei?
 
Hivi ile kamati ya TFF wewe uliilewa maamuzi yake?
Wenye akili wote walielewa. Labda mnionyeshe mchezaji wa kulipwa mmoja duniani aliyewahi kufanya kama Feisal akafanikiwa.
 
Kazini watu wanaenda kutafuta maslahi. Hata hizo kazi zimefunguliwa ni kutafuta maslahi. Hapo kinachokushangaza nn kama Fei anatafuta maslahi? Binafsi ndio katika ujana wangu nimeshawahi ondoka kazini kwa mhindi kwa notice ya masaa 24. Yaani niache maslahi ya maana sababu natakiwa nikae kikao na nani sijui? Unadhani Yanga wanapigania nn zaidi ya maslahi yao kwa Fei?
Mkataba wowote lazima uwe na termination procedures na kama ni maslahi huwa yanajadiliwa na kukubaliana kabla mtu au taasis haijasaini. Sasa mkataba unaendelea kila upande unatimiza wajibu wake halafu upande mmoja unakataa ati hamna maslahi hili lilishatokea wapi kama siyo bongo???
 
Mkataba wowote lazima uwe na termination procedures na kama ni maslahi huwa yanajadiliwa na kukubaliana kabla mtu au taasis haijasaini. Sasa mkataba unaendelea kila upande unatimiza wajibu wake halafu upande mmoja unakataa ati hamna maslahi hili lilishatokea wapi kama siyo bongo???
Hii inatokea sana tu. Nenda mahakamani huko utakutana na haya makesi ya mikataba. Mara kakiuka makubaliano, sijui taratibu hazikufatwa. Hukumu zinatoka watu wanalipana fidia wanaachana.
 
Wenye akili wote walielewa. Labda mnionyeshe mchezaji wa kulipwa mmoja duniani aliyewahi kufanya kama Feisal akafanikiwa.
Kasome shauri la kesi ya Hakan Çalhanoğlu CAS ya Februari 2 mwaka 2017 kwanza ndio uje hapa tu argue
 
Unazungumzia kamati ipi?

Ile ile iliyosikiliza shauri la Bernard Morison VS YANGA SC..?
Swala la Morrison lilikuwa open na ndio maana hata wao walikuwa na confidence kuliweka public mbele ya media.

Unaelewa kwanini hili swala limekuwa likifanywa gizani bila kushirikisha media kama walivyofanya kwenye ishu ya Morrison
 
Nyie kina dada Scars ndio mmemponza huyo mkojani wenu sasa asubiri dawa ianze kuingia.
Siku hizi watu wameanza kunichukulia poa, yani pamoja na haya makovu bado wananitia doa...
 
Hersi alisema Yanga ilimboreshea maslahi yake kutoka 1.5M hadi 4M.

Na anakiri kuwa Feisali ni mchezaji ambaye hajawahi kuwa na nidhamu mbovu au jambo lolote la kutilia shaka kwenye taaluma yake

The question is, what changed him?
Yusuph na gang lake ......hakuna zaidi
 
acha inyeshe tujue wapi panavuja maana hii nchi uhuru umezidi sana.
 
Sidhani, wakati mwingine ushabiki unaletaga upofu tu. Akirudi Yanga akapokelewa na zawadi ya mshahara mnono concept yako ya iwe fundisho kwa wengine pengine ukaipuuza na kumshangilia kama kina Morison.
Huyu hata akiamua kurudi yanga atua kipaji chake pale mana atasugua sana benchi. na hicho ndicho anachokiogopa.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Huyu afungiwe kuchezea team zote za ndani.
Kijana wa zanzibar kazoea kuzila daku kisa samaki hana mkia
 
Hersi alisema Yanga ilimboreshea maslahi yake kutoka 1.5M hadi 4M.

Na anakiri kuwa Feisali ni mchezaji ambaye hajawahi kuwa na nidhamu mbovu au jambo lolote la kutilia shaka kwenye taaluma yake

The question is, what changed him?
Masurufu
 
Back
Top Bottom