Yanga yamshitaki Feisali Salum kwenye kamati ya nidhamu

Hiyo 24hrs notice ni njia mojawapo sahihi ya kuvunja mkataba uliyoifata. Turudi kwa feisal hatua aliyochukua kuvunja mkataba haina mashiko.
 
Reactions: Tsh

Hii move ya kummaliza, ingawa dogo ni fala wa kutupwa, lakini wangemsamehe tu na kumuacha, Shule ni Muhimu sana.

Naona faida moja tu ya kudeal ya huyu dogo ni kuweka precedes kwamba sio vyema kucheza na mikataba.

Dodo atatoka hapo, atasogezwa kwenye mashtaka ya vyombo vingine, kwa nini watu hawamshauri huyu dogo akatulia?
 
Kamati ya maadili iiwaita Yanga kuthibitisha hizi taarifa na walishindwa.

So hizi bado ni speculations tu ambazo kila mtu anaweza akafikiria lakini hazina uhalisia wowote
Kwa nini hawataki kuja mezani kumalizana ? Wanamzingua tu Fei mama yake nyumba za fumba ....waje wamakizane
 
Mkuu kwani hayo mashtaka ya Yanga ni ya tarehe ngapi? Unadhani kwanini yamevuja leo?
 
Dogo anaomba kuchangiwa aende CAS
 
Dogo ana nyanyasika sana
Sasa ananyanyasikaje analipwa mshahara na yeye ndio hajafata utaratibu ktk kuvunja mkataba?Na hajang'ang'aniwa na mtu ila hataki kwenda kuongea na uongozi yy mwenyewe hapo kanyanyasikake yani????
 
Sasa ananyanyasikaje analipwa mshahara na yeye ndio hajafata utaratibu ktk kuvunja mkataba?Na hajang'ang'aniwa na mtu ila hataki kwenda kuongea na uongozi yy mwenyewe hapo kanyanyasikake yani????
Ametumia utaratibu kuvunja mkataba kupitia TFF lakini bado wamemzingua
 
Wewe ni tahira, unajua mtu aliyenyanyasika? Au umeshupaza mishipa ya kitobo kisa unazi. Fvck u
Nakuheshimu mkuu, nami niheshimu pia...

Kwenye ulimwengu huu, thamani ni utu sio lupia...
 
Nakuheshimu mkuu, nami niheshimu pia...

Kwenye ulimwengu huu, thamani ni utu sio lupia...
Pita hivi na upuu wako... Unajua unyanyasaji wewe?.
 
Pita hivi na upuu wako... Unajua unyanyasaji wewe?.
Ulikuwa na haja gani ya kuandika matusi?

Mi ndio maana sipendagi mjadala na watoto

Watoto huwa siwapi nafasi kufanya mjadala na mimi, huwa nawapa toothpick wachokonoe maziwa
 
Ulikuwa na haja gani ya kuandika matusi?

Mi ndio maana sipendagi mjadala na watoto

Watoto huwa siwapi nafasi kufanya mjadala na mimi huwa nawapa toothpick wachokonoe maziwa
Alitiwa madole kwamba ananyanyasika?, Punguza upuuzi kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…