Yanga yamtambulisha Mkude namba 6 aliyekuwa gumzo mtandaoni

Hatimaye ukweli umejulikana baada ya wapinzani kujaribu kuiba mchezaji airport now imefahamika rasmi kuwa wapinzani walimuiba mchezaji asiye sahihi.
Ujinga ni mzigo, mkude kapewa jezi namba ngapi? Unaelewa maana ya jezi namba 6 wanayoimaanisha yanga? Mzee kilomoni anatakiwa azikomboe na akili zenu alizozichukua yule mhindi wa bombay!
 
Ujinga ni mzigo, mkude kapewa jezi namba ngapi? Unaelewa maana ya jezi namba 6 wanayoimaanisha yanga? Mzee kilomoni anatakiwa azikomboe na akili zenu alizozichukua yule mhindi wa bombay!
Huwa wanakurupuka na kukimbilia kuandika threads bila kuwa na usahihi wa kile wanachokiandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…