Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu umeandika mwenyewe, au kuna jamaa yako ambaye ni mwananchi aliazima simu yako na kuandika haya maelezo?Hatimaye ukweli umejulikana baada ya wapinzani kujaribu kuiba mchezaji airport now imefahamika rasmi kuwa wapinzani walimuiba mchezaji asiye sahihi.
Mwaka huu mashabiki wa simba mnapotezwa maboya mpaka mnatia huruma.Namba 6 wenu kumbe ndio huyu
Tulimparua akakimbia Sasa HV Kaja na I'd mpya Ila Bado anakula za usoMwaka huu mashabiki wa simba mnapotezwa maboya mpaka mnatia huruma.
Yule mwenzenu Popoma ilifikia wakati mpaka akawa anaanzisha uzi wa kuihusu Yanga kila baada ya dakika 2!
Hii kitu umeandika mwenyewe, au kuna jamaa yako ambaye ni mwananchi aliazima simu yako na kuandika haya maelezo?
Ila kwa hili la Mkude hata mimi nimeshindwa kujiuzuia.Mwaka huu mashabiki wa simba mnapotezwa maboya mpaka mnatia huruma.
Yule mwenzenu Popoma ilifikia wakati mpaka akawa anaanzisha uzi wa kuihusu Yanga kila baada ya dakika 2!
Halafu utashangaa anakinukisha kweli kweli. Yaani kama tu anavyofanya Mudathir Yahya Abbas.Ila kwa hili la Mkude hata mimi nimeshindwa kujiuzuia.
Mkude ni mtu sahihi ila sio kwa mbwembwe zile
Hawa ndiyo tunaita senior players. Ni kama tu Erasto Nyoni aliyesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili na Namungo, katika umri wake ule!!
Ujinga ni mzigo, mkude kapewa jezi namba ngapi? Unaelewa maana ya jezi namba 6 wanayoimaanisha yanga? Mzee kilomoni anatakiwa azikomboe na akili zenu alizozichukua yule mhindi wa bombay!Hatimaye ukweli umejulikana baada ya wapinzani kujaribu kuiba mchezaji airport now imefahamika rasmi kuwa wapinzani walimuiba mchezaji asiye sahihi.
Huwa wanakurupuka na kukimbilia kuandika threads bila kuwa na usahihi wa kile wanachokiandikaUjinga ni mzigo, mkude kapewa jezi namba ngapi? Unaelewa maana ya jezi namba 6 wanayoimaanisha yanga? Mzee kilomoni anatakiwa azikomboe na akili zenu alizozichukua yule mhindi wa bombay!