Yanga yamtambulisha winga wake wa kushoto Skudu kutoka Marumo Gallants

Yanga yamtambulisha winga wake wa kushoto Skudu kutoka Marumo Gallants

Scars

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
48,055
Reaction score
116,512
Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.

Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.

Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.

Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.

Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.

Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
skudu11-20230719-0001.jpg (2)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (3)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (4)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (5)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (6)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (7)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (9)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (10)~2.jpg
 
Kumbe amekuja kula pensheni?
Mnasajili wazee baadae muanze kusema Karia ni simba
Onyango kazidiwa miaka mitatu na winga wetu.

Onyango wa 1993 wakati Skudu namba 6 wetu ana 33.

Inaonekana idea ya jezi namba 6 ilitokana na simple maths ya hesabu ya kujumlisha namba za miaka.

3+3=6

Club ya Yanga imeajiri ma cypher, kila kitu wanakiweka kwenye code
 
Back
Top Bottom