Yanga yamtambulisha winga wake wa kushoto Skudu kutoka Marumo Gallants

Yanga yamtambulisha winga wake wa kushoto Skudu kutoka Marumo Gallants

Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.

Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.

Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.

Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.

Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.

Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
Wapi makabi lilepo? Wapi chama? Wapi mayele? Wapi fei toto? Uto mnakosea sana. Msimu ujao mjitayarishe kushuka daraja
 
Winga hatari anaweza kutoka kwenye timu iliyoshuka daraja kweli?

Kwa miaka 11 Skudu amecheza dakika 4422 sawa na mechi 11

Hersi anatuchukuliaje sisi wananchi?
Hersi anawachukulia kama ilivyo misukule ya chemchem. Nyumbu one head
 
Na 6 alikuwa Ngoma akakwapuliwa.
Baadae ikawa kwa Chama nae akawatosa.

Injinia akaona isiwe tabu akaamua kumletea Nkane mtu wa kucheza naye kambini pindi wengine wanapoenda mazoezini.

Babu Sikudu Makudubela kaletwa ili awe anabaki na Nkane kambini. Karibu babu Makudubela Jangwani.
 
Na 6 alikuwa Ngoma akakwapuliwa.
Baadae ikawa kwa Chama nae akawatosa.

Injinia akaona isiwe tabu akaamua kumletea Nkane mtu wa kucheza naye kambini pindi wengine wanapoenda mazoezini.

Babu Sikudu Makudubela kaletwa ili awe anabaki na Nkane kambini. Karibu babu Makudubela Jangwani.
Hatimaye utopolo wapata Onyango wao.
 
Lakini mimi sijasema kuhusu uzee

Kule Casablanca tulifungwa mkasema sababu ni Onyango mechi za usiku ule uzee unamfanya alale.

Sasa leo tumempata Kaka yake, je mmejipanga kwa mechi za usiku?
Kwani huyo ni beki
 
Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.

Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.

Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.

Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.

Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.

Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
kinda miaka 33..ndio kinda gan
 
Muda alioutumia kucheza uwanjani kwa kila msimu

2022/2023. Dakika 879

2021/2022. Dakika 299

2020/2021. Dakika 65

2019/2020. Dakika. 86

2018/2019. Dakika. 19

2017/2018. Dakika. 209

2016/2017. Dakika. 284

2015/2016. Dakika. 299

2014/2015. Dakika. 692

2013/2014. Dakika 182

2012/2013. Dakika. 1408


Jumla ya dakika kwa misimu yote 4422
Kuna misimu kazidiwa na bocco[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom