Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imebidi niwatetee kidogo, mtawaua kwa presha hawa UTO.Usinge wastua
Thank you Morison..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3172]🦽[emoji3172]🦽[emoji3172]🦽Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.
Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.
Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.
Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.
Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.
Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
Niwekee na statistics za Khalid Aucho, halafu unipe na mchango wake pale katikati.Stats: 2014-2015
Akiwa na Platnum Stars
Mechi. 14
Goals. 1
Assist. 0
Njano. 0
Nyekundu 0
Hii ni wizi mtupu kwa fedha za YangaHatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.
Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.
Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.
Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.
Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.
Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
Unapoongea hayo yote wewe una nini mkononi na mimi niko levels gani?Mlishawahi sema boli sebene ndani ya NBC na mkasebeneshwa haswa, kiasi cha kukosa kombe hata la ndondo..!!
Ahahahahahahaaa..!! Unahaha sana aiseee..!!! Umeanza amapiano, nikakutwisha la masebene limekufika hapaa..!! Nilichonacho mkononi na level uliyopo havibadili chochote kuhusu uliyoyasema ya amapiano nami niliyoyasema ya masebene na ndondo cupUnapoongea hayo yote wewe una nini mkononi na mimi niko levels gani?
Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.
Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.
Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.
Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.
Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.
Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
It's been a long Beshti....Mkude enzi yupo Simba..Uto walisema mnalundika wastaafu kambini mara anacheza kifaza..naona ameenda uto kuchukua pensheni na swahiba skudu...
[emoji196] [emoji196][emoji196]
Tukutane mwishoni mwa msimu 2023/2024 huku kila mmoja akikabidhi hesabu zake.Ahahahahahahaaa..!! Unahaha sana aiseee..!!! Umeanza amapiano, nikakutwisha la masebene limekufika hapaa..!! Nilichonacho mkononi na level uliyopo havibadili chochote kuhusu uliyoyasema ya amapiano nami niliyoyasema ya masebene na ndondo cup
Na hata mlivyomtimua mlisema ni mzee.Umeeleza vizuri sana na soka unalifahamu humu kuna mizuzu inayojifanya inajua lakini ni ovyo kabisa.
Yanga kipindi tunamsajili saido walisema tunabeba wazee leo saido ndio faraja yao kubwa mpaka wanajivunia kuchukua kiatu cha ufungaji bora wakisahau hawana kombe lolote misimu miwili mfululizo.
Hata mwanzo wa msimu 2022/2023 mliyasema kama haya na kila mmoja akakabidhi hesabu zake. Si unakumbuka mlikabidhi hesabu za kombe la kiatu cha Saido.!!Tukutane mwishoni mwa msimu 2023/2024 huku kila mmoja akikabidhi hesabu zake.
Kwan kua afisa habari wa klabu ndio kujitoa kwenye u ovyo ovyo..Na hata mlivyomtimua mlisema ni mzee.
Na Afisa Habari wenu alisema Saido akifunga goli 5 tumuite Ashura Ma UTI
Huku sasa unakoenda utajikuta unaimba taarabu.Winga hatari anaweza kutoka kwenye timu iliyoshuka daraja kweli?
Kwa miaka 11 Skudu amecheza dakika 4422 sawa na mechi 50
Hersi anatuchukuliaje sisi wananchi?
Upo dia? Au upp inje ya nji...miss youIt's been a long Beshti....
Hivi kwa nini Uto hawatoi taarifa za Mayele hadi sasa[emoji38]