Yanga yamtambulisha winga wake wa kushoto Skudu kutoka Marumo Gallants

Yanga yamtambulisha winga wake wa kushoto Skudu kutoka Marumo Gallants

Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.

Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.

Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.

Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.

Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.

Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
Thank you Morison..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3172]‍🦽[emoji3172]‍🦽[emoji3172]‍🦽
 
Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.

Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.

Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.

Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.

Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.

Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
Hii ni wizi mtupu kwa fedha za Yanga
Screenshot_20230719_103904_Twitter.jpg
 
Kuna dogo mmoja wa mallumo gallant mweupe hii mtata mtata alisumbuana sana na aucho kwenye mechi ya nusu fainali dogo yuko vizuri sana.
 
Unapoongea hayo yote wewe una nini mkononi na mimi niko levels gani?
Ahahahahahahaaa..!! Unahaha sana aiseee..!!! Umeanza amapiano, nikakutwisha la masebene limekufika hapaa..!! Nilichonacho mkononi na level uliyopo havibadili chochote kuhusu uliyoyasema ya amapiano nami niliyoyasema ya masebene na ndondo cup
 
Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.

Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.

Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.

Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.

Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.

Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
skudu11-20230719-0001.jpg (2)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (10)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (7)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (9)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (5)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (4)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (6)~2.jpg
skudu11-20230719-0001.jpg (3)~2.jpg
 
Mkude enzi yupo Simba..Uto walisema mnalundika wastaafu kambini mara anacheza kifaza..naona ameenda uto kuchukua pensheni na swahiba skudu...
[emoji196] [emoji196][emoji196]
It's been a long Beshti....
Hivi kwa nini Uto hawatoi taarifa za Mayele hadi sasa[emoji38]
 
Ahahahahahahaaa..!! Unahaha sana aiseee..!!! Umeanza amapiano, nikakutwisha la masebene limekufika hapaa..!! Nilichonacho mkononi na level uliyopo havibadili chochote kuhusu uliyoyasema ya amapiano nami niliyoyasema ya masebene na ndondo cup
Tukutane mwishoni mwa msimu 2023/2024 huku kila mmoja akikabidhi hesabu zake.
 
Amecheza timu kama 200 huyu ndo mchezaji wa kwanza mweye uzoefu kuliko wote Tanzania.
 
Umeeleza vizuri sana na soka unalifahamu humu kuna mizuzu inayojifanya inajua lakini ni ovyo kabisa.
Yanga kipindi tunamsajili saido walisema tunabeba wazee leo saido ndio faraja yao kubwa mpaka wanajivunia kuchukua kiatu cha ufungaji bora wakisahau hawana kombe lolote misimu miwili mfululizo.
Na hata mlivyomtimua mlisema ni mzee.

Na Afisa Habari wenu alisema Saido akifunga goli 5 tumuite Ashura Ma UTI
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Tukutane mwishoni mwa msimu 2023/2024 huku kila mmoja akikabidhi hesabu zake.
Hata mwanzo wa msimu 2022/2023 mliyasema kama haya na kila mmoja akakabidhi hesabu zake. Si unakumbuka mlikabidhi hesabu za kombe la kiatu cha Saido.!!
 
Winga hatari anaweza kutoka kwenye timu iliyoshuka daraja kweli?

Kwa miaka 11 Skudu amecheza dakika 4422 sawa na mechi 50

Hersi anatuchukuliaje sisi wananchi?
Huku sasa unakoenda utajikuta unaimba taarabu.
 
Back
Top Bottom