Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

Dogo kaondoka buree huyu acheni mbambamba.

Yanga wamepita mule mule kwenye mkeka nilioleta juzi. Hapo sikuweka zile tiketi zilizokuwa zinanunuliwa kwa hiyo Yanga bado mna deni, chungeni mnaweza mpoteza na Mayele muda wowote.

Gharama za Algeria na kurudi = 200,000,000
+
Ndege hadi Mbeya 30,000,000
+
Ubwabwa wa Ikulu = 20,000,000
+
Goli la Fainali kwa Mkapa = 20,000,000

Jumla = 270,000,000

Gharama za kumuachia Feisal Salum = 270,000,000
Okrah Magic kauzwa kwa bei gani
 
UTOPOLO KUWA LA KUSHINDWA WAMECHEMKA TENA.


UTOPWINYO WAMEANGUKIA PUA
Uto amechukua 270M kwa mchezaji ambaye walipewa na mwigulu..

Sasa hapo wamepata hasara gani..

Kweli huko kwenu wote mbumbumbu.
 
I think mashabiki wa Simba tungejikita kwenye kuhimiza timu yetu ifanye usajiri ni aibu sisi kugeuka kuwa wambea na kushadadia mambo, msimu wa pili mfurulizo tunatoka kama tulivyo anza imagine wenzetu tulikua tunawacheka wamefika fainali CAF confederation tayari wana kombe la NBC kesho kutwa wanacheza fainali Azam federation, Azam FC ndio wametunyima ubingwa msimu huu tayari wana Feisal sisi tumebaki kua wanaharakati
Maisha ya kushabikia soka siyo magumu hivi. Yaani tusifurahie soka sababu Feisal kaenda Azam na Yanga imekuwa na msimu wenye mafanikio?
 
Azam walishindwa vipi kukamilisha huu usajili mapema?

Ilikuwaje mpaka wamlaghai mcheza ili avunje mkataba kihuni?

Mlichokifanya leo ndicho kinacho takiwa kwenye soka, tuma offer then watu wai-evaluate baada ya hapo unasajili mchezaji.

Kulaghai mchezaji ni janja janja za kizamani. Hakuna pahala ambapo watakubali hilo jambo.

Ninashukuru pia Jitihada sa Mheshimiwa Rais Samia ambazo zimewalazimu muende mezani.

Nakumbuka Yanga walliandika barua mara kadhaa kuwa klabu inayomtaka feisal ije mezani. Nyinyi mlijitia majinuni ili hali taratibu mnazifahamu.

Sasa mmejipata katka nafasi ya kuwajibika kufika mezani wenyewe. Kioja kingine baada ya kufika mezani mkajipa "baigaining power" eti tunatoa Milion 270 za usajili.

Bwana mdogo Hersi kawaambia bila 500 hambebi kitu.

Mwisho wa siku mkasamehewa milion 30

Yanga SC wamewafundisha namna biashara ya mpira inavyotakiwa kufanyika.

Hongereni kwa kujifunza.
Ushabiki wa namna hii lazima uwe chizi ,et bila 500m hambebi kitu.
Kuna furaha mnalazimisha hata Kwa kutumia nguvu.
Barua inajieleza wazi kuwa dau ni Siri na ukishaona neno Siri wakubwa tunaelewa Nan katoka patupu
 
MO aondoke atuachie timu yetu, hasipoondoka tunasusia bidhaa zake tunahamia kwenye bidhaa za Azam
 
Back
Top Bottom