Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Wewe leta figure tulinganishe,Tunawaangalieni mnavyofarijiana kwa kutaja figure kubwa.Ubwabwa wa bure si mzuri sana mtani,ona umewagharimuni kijana kaondoka kiulaini kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe leta figure tulinganishe,Tunawaangalieni mnavyofarijiana kwa kutaja figure kubwa.Ubwabwa wa bure si mzuri sana mtani,ona umewagharimuni kijana kaondoka kiulaini kabisa.
Ameuzwa kwa 2bn [emoji2957][emoji2957]Wewe leta figure tulinganishe,
Mbambamba zimesaidia kupunguza bei...Ilitakiwa Azam waje mapema siyo kuleta mbambamba.
🤣🤣🤣🤣🤣Ameuzwa kwa 2bn [emoji2957][emoji2957]
Nenda kawaulize Simba Sc wawape figure wao ndiyo wanajua[emoji41]@NALIA NGWENA mwenzio huyu hapa anakuja na figure ya 500M -30M,mpaka sasa kila mtu na lake.Tajeni figure moja tuwaeleweni enyi wanazi wa Yanga.Ameuzwa kwa 270M,350M au 470M?
Ndiyo maana uongozi umeamua kutoweka hadharani dau lenyewe ili muendelee kujifariji kila mtu na figure yake.
Kwahiyo hii mada inahusu kupima ukimwi?Negative can sometimes be good than positive
Kapime ukimwi halafu wakuambie upo positive tuone kama itakufurahisha
Kwani hii mada inahusu maswala ya negative?Kwahiyo hii mada inahusu kupima ukimwi?
hiyo unasema wewe shabiki wa andazi fc ila mama katoa amri fei aachiwe huru na imetekelezwaAzam walishindwa vipi kukamilisha huu usajili mapema?
Ilikuwaje mpaka wamlaghai mcheza ili avunje mkataba kihuni?
Mlichokifanya leo ndicho kinacho takiwa kwenye soka, tuma offer then watu wai-evaluate baada ya hapo unasajili mchezaji.
Kulaghai mchezaji ni janja janja za kizamani. Hakuna pahala ambapo watakubali hilo jambo.
Ninashukuru pia Jitihada sa Mheshimiwa Rais Samia ambazo zimewalazimu muende mezani.
Nakumbuka Yanga walliandika barua mara kadhaa kuwa klabu inayomtaka feisal ije mezani. Nyinyi mlijitia majinuni ili hali taratibu mnazifahamu.
Sasa mmejipata katka nafasi ya kuwajibika kufika mezani wenyewe. Kioja kingine baada ya kufika mezani mkajipa "baigaining power" eti tunatoa Milion 270 za usajili.
Bwana mdogo Hersi kawaambia bila 500 hambebi kitu.
Mwisho wa siku mkasamehewa milion 30
Yanga SC wamewafundisha namna biashara ya mpira inavyotakiwa kufanyika.
Hongereni kwa kujifunza.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kwani hii mada inahusu maswala ya negative?
huo utumbo uliouandika huko labda asome hawara yakoHuu ni utoaji habari ya muhtasari.
Kama unataka taarifa kamili, nunua gazeti lako la mwanaspoti.
Niko na makala yangu mule!
jifunze kwanza kuandika "muhamara" ndio kitu gani?Kama ulimrushia Fei muhamara,kalagabahoo
Mngeendelea kukomaaMisimamo gani sasa hapo? Kama sio kuokolewa na Rais unadhani angetoboa
Ujinga huoDogo kaondoka buree huyu acheni mbambamba.
Yanga wamepita mule mule kwenye mkeka nilioleta juzi. Hapo sikuweka zile tiketi zilizokuwa zinanunuliwa kwa hiyo Yanga bado mna deni, chungeni mnaweza mpoteza na Mayele muda wowote.
Gharama za Algeria na kurudi = 200,000,000
+
Ndege hadi Mbeya 30,000,000
+
Ubwabwa wa Ikulu = 20,000,000
+
Goli la Fainali kwa Mkapa = 20,000,000
Jumla = 270,000,000
Gharama za kumuachia Feisal Salum = 270,000,000
Wanaona aibuProfessional footballer leo hii anauzwa kwa dau ambalo haliwekwi wazi? Kwamba dau ni dogo sana au ni kubwa sana?
Asante Kwa shule,mkuujifunze kwanza kuandika "muhamara" ndio kitu gani?
I think mashabiki wa Simba tungejikita kwenye kuhimiza timu yetu ifanye usajiri ni aibu sisi kugeuka kuwa wambea na kushadadia mambo, msimu wa pili mfurulizo tunatoka kama tulivyo anza imagine wenzetu tulikua tunawacheka wamefika fainali CAF confederation tayari wana kombe la NBC kesho kutwa wanacheza fainali Azam federation, Azam FC ndio wametunyima ubingwa msimu huu tayari wana Feisal sisi tumebaki kua wanaharakatiDau halitawekwa wazi kwasababu thamani yake ni plate ya ubwabwa
Una amini kwamba mashabiki kujadili swala la Feisali kunaweza kuizuia timu ishindwe kusajili?I think mashabiki wa Simba tungejikita kwenye kuhimiza timu yetu ifanye usajiri ni aibu sisi kugeuka kuwa wambea na kushadadia mambo, msimu wa pili mfurulizo tunatoka kama tulivyo anza imagine wenzetu tulikua tunawacheka wamefika fainali CAF confederation tayari wana kombe la NBC kesho kutwa wanacheza fainali Azam federation, Azam FC ndio wametunyima ubingwa msimu huu tayari wana Feisal sisi tumebaki kua wanaharakati
Scars OKW BOBAN SUNZU SAYVILLE njoeni hukuI think mashabiki wa Simba tungejikita kwenye kuhimiza timu yetu ifanye usajiri ni aibu sisi kugeuka kuwa wambea na kushadadia mambo, msimu wa pili mfurulizo tunatoka kama tulivyo anza imagine wenzetu tulikua tunawacheka wamefika fainali CAF confederation tayari wana kombe la NBC kesho kutwa wanacheza fainali Azam federation, Azam FC ndio wametunyima ubingwa msimu huu tayari wana Feisal sisi tumebaki kua wanaharakati