Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] WAMEBUGIA KIAZI CHA MOTO MIDOMO INACHEZA SEBENE
Chezea ubwabwa wa bure,wametema bungo bila kupenda [emoji3][emoji3]
 
Azam walishindwa vipi kukamilisha huu usajili mapema?

Ilikuwaje mpaka wamlaghai mcheza ili avunje mkataba kihuni?

Mlichokifanya leo ndicho kinacho takiwa kwenye soka, tuma offer then watu wai-evaluate baada ya hapo unasajili mchezaji.

Kulaghai mchezaji ni janja janja za kizamani. Hakuna pahala ambapo watakubali hilo jambo.

Ninashukuru pia Jitihada sa Mheshimiwa Rais Samia ambazo zimewalazimu muende mezani.

Nakumbuka Yanga walliandika barua mara kadhaa kuwa klabu inayomtaka feisal ije mezani. Nyinyi mlijitia majinuni ili hali taratibu mnazifahamu.

Sasa mmejipata katka nafasi ya kuwajibika kufika mezani wenyewe. Kioja kingine baada ya kufika mezani mkajipa "baigaining power" eti tunatoa Milion 270 za usajili.

Bwana mdogo Hersi kawaambia bila 500 hambebi kitu.

Mwisho wa siku mkasamehewa milion 30

Yanga SC wamewafundisha namna biashara ya mpira inavyotakiwa kufanyika.

Hongereni kwa kujifunza.
 
angeenda simba angepata exposure ya timu za nje, kaenda kwa waoka mikate wao mpira sio kazi kiviile, just entertainment tu.
kifupi dogo katokoa
 
Azam walishindwa vipi kukamilisha huu usajili mapema?

Ilikuwaje mpaka wamlaghai mcheza ili avunje mkataba kihuni?

Mlichokifanya leo ndicho kinacho takiwa kwenye soka, tuma offer then watu wai-evaluate baada ya hapo unasajili mchezaji.

Kulaghai mchezaji ni janja janja za kizamani. Hakuna pahala ambapo watakubali hilo jambo.

Ninashukuru pia Jitihada sa Mheshimiwa Rais Samia ambazo zimewalazimu muende mezani.

Nakumbuka Yanga walliandika barua mara kadhaa kuwa klabu inayomtaka feisal ije mezani. Nyinyi mlijitia majinuni ili hali taratibu mnazifahamu.

Sasa mmejipata katka nafasi ya kuwajibika kufika mezani wenyewe. Kioja kingine baada ya kufika mezani mkajipa "baigaining power" eti tunatoa Milion 270 za usajili.

Bwana mdogo Hersi kawaambia bila 500 hambebi kitu.

Mwisho wa siku mkasamehewa milion 30

Yanga SC wamewafundisha namna biashara ya mpira inavyotakiwa kufanyika.

Hongereni kwa kujifunza.
Win win,na heshima Kwa Yanga juu

Wale waliomchngia hela Feisali shauri lao
 
M
Azam walishindwa vipi kukamilisha huu usajili mapema?

Ilikuwaje mpaka wamlaghai mcheza ili avunje mkataba kihuni?

Mlichokifanya leo ndicho kinacho takiwa kwenye soka, tuma offer then watu wai-evaluate baada ya hapo unasajili mchezaji.

Kulaghai mchezaji ni janja janja za kizamani. Hakuna pahala ambapo watakubali hilo jambo.

Ninashukuru pia Jitihada sa Mheshimiwa Rais Samia ambazo zimewalazimu muende mezani.

Nakumbuka Yanga walliandika barua mara kadhaa kuwa klabu inayomtaka feisal ije mezani. Nyinyi mlijitia majinuni ili hali taratibu mnazifahamu.

Sasa mmejipata katka nafasi ya kuwajibika kufika mezani wenyewe. Kioja kingine baada ya kufika mezani mkajipa "baigaining power" eti tunatoa Milion 270 za usajili.

Bwana mdogo Hersi kawaambia bila 500 hambebi kitu.

Mwisho wa siku mkasamehewa milion 30

Yanga SC wamewafundisha namna biashara ya mpira inavyotakiwa kufanyika.

Hongereni kwa kujifunza.
Mambo haya mpaka lini lakini?
 
352193918_954040458975653_2705167172153723571_n.webp.jpg
 
Back
Top Bottom