CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
UTOPOLO KUWA LA KUSHINDWA WAMECHEMKA TENA.
UTOPWINYO WAMEANGUKIA PUA
UTOPWINYO WAMEANGUKIA PUA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia nimewaza kwa kina sana Jambo hiliNajaribu kuwaza. Ina maana Yanga wamemuuza Fei Kwa sababu Rais kasema au ni utashi wao
Yanga kashinda, Fei kala Hela za Wana Simba,ahaaaaaaYanga WoN azam Lost.
Kimsingi Mama kaashurutisha Azam kwenda mezani kama wanataka huduma ya mchezaji.
Baada ya kugoma, sasa wamejitokeza.
Kama ulimrushia Fei muhamara,kalagabahooAcheni kujifariji.
Hilo ndio jambo ambalo sisi kama Yanga tulilikataa.Dogo aliwafata lakini mwanzoni hawakutaka kwasababu zao za kutaka kuoneshana umwamba.
Klabu ya kandanda nchini Tanzania yanga sc imethibitisha rasmi KUWEKWA HURU kwa kiungo wake fundi Feisal salum(fei toto) kwenda kwa klabu ya azam fc iliyopo chamazi nini maoni yako mdau kwenye usajili huu je tutaiona Azam ikitwaa ubingwa!?
TAHRA WEWEkwa akili hii ya mleta uzi unafikiri kuuza bandari ni ngumu hapa Tz?
Yaani Raisi awape muongozo alafu mnunuzi atoe kile alichokikataa?
Muuzaji kubali tu ukweli siasa ni kubwa kuliko mpira.
Over.
@NALIA NGWENA mwenzio huyu hapa anakuja na figure ya 500M -30M,mpaka sasa kila mtu na lake.Tajeni figure moja tuwaeleweni enyi wanazi wa Yanga.Ameuzwa kwa 270M,350M au 470M?Azam walishindwa vipi kukamilisha huu usajili mapema?
Ilikuwaje mpaka wamlaghai mcheza ili avunje mkataba kihuni?
Mlichokifanya leo ndicho kinacho takiwa kwenye soka, tuma offer then watu wai-evaluate baada ya hapo unasajili mchezaji.
Kulaghai mchezaji ni janja janja za kizamani. Hakuna pahala ambapo watakubali hilo jambo.
Ninashukuru pia Jitihada sa Mheshimiwa Rais Samia ambazo zimewalazimu muende mezani.
Nakumbuka Yanga walliandika barua mara kadhaa kuwa klabu inayomtaka feisal ije mezani. Nyinyi mlijitia majinuni ili hali taratibu mnazifahamu.
Sasa mmejipata katka nafasi ya kuwajibika kufika mezani wenyewe. Kioja kingine baada ya kufika mezani mkajipa "baigaining power" eti tunatoa Milion 270 za usajili.
Bwana mdogo Hersi kawaambia bila 500 hambebi kitu.
Mwisho wa siku mkasamehewa milion 30
Yanga SC wamewafundisha namna biashara ya mpira inavyotakiwa kufanyika.
Hongereni kwa kujifunza.
WEWE UMEONA NINI ?Huu ni umbea, uchambuzi au utoaji wa habari
Mpaka sasa figure zipo tatu,270M,350M na 470M.Uzuri zote zinaletwa na Yanga lia lia,tumwamini nani? Tutaendelea kuamini ile Taarifa kwa Umma ambayo haijaweka wazi dau lenyewe.Win win,na heshima Kwa Yanga juu
Wale waliomchngia hela Feisali shauri lao
Leta zako na weweMpaka sasa figure zipo tatu,270M,350M na 470M.Uzuri zote zinaletwa na Yanga lia lia,tumwamini nani? Tutaendelea kuamini ile Taarifa kwa Umma ambayo haijaweka wazi dau lenyewe.
Mkuu Nyamizi na wewe za kwako tulinganishe@NALIA NGWENA mwenzio huyu hapa anakuja na figure ya 500M -30M,mpaka sasa kila mtu na lake.Tajeni figure moja tuwaeleweni enyi wanazi wa Yanga.Ameuzwa kwa 270M,350M au 470M?
Ndiyo maana uongozi umeamua kutoweka hadharani dau lenyewe ili muendelee kujifariji kila mtu na figure yake.
Mchango mara ya mwisho ulikuwa milioni 327 na malaki kadhaaWin win,na heshima Kwa Yanga juu
Wale waliomchngia hela Feisali shauri lao
Acheni kujifurahisha hapa,aliyewin ni Azam na Feisal maana wamepata walichokitaka.Mnaanza kutudanganya na figures za kubuni ili tu kufurahisha nafsi zenu.Yanga WoN azam Lost.
Kimsingi Mama kaashurutisha Azam kwenda mezani kama wanataka huduma ya mchezaji.
Baada ya kugoma, sasa wamejitokeza.
Akanunue hatifungani za BoT za miaka 25,awe anakula 30m a yearMchango mara ya mwisho ulikuwa milioni 327 na malaki kadhaa
Jamaa kaamua kutudanganya mcha kweupee [emoji3][emoji3]470 ? nimekaa paleee
Misimamo gani sasa hapo? Kama sio kuokolewa na Rais unadhani angetoboaWatu na misimamo yao