Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

UTOPOLO KUWA LA KUSHINDWA WAMECHEMKA TENA.


UTOPWINYO WAMEANGUKIA PUA
 
[emoji1787]
Screenshot_20230608-085450_Instagram.jpg
 
Dogo aliwafata lakini mwanzoni hawakutaka kwasababu zao za kutaka kuoneshana umwamba.
Hilo ndio jambo ambalo sisi kama Yanga tulilikataa.

Yanga walitaka klabu inayomtaka ije mezani na si vinginevyo.

Na ndivyo walichokifanya.

Inaitwa PROFESSIONALISM and not UHUNI.
 
Klabu ya kandanda nchini Tanzania yanga sc imethibitisha rasmi KUWEKWA HURU kwa kiungo wake fundi Feisal salum(fei toto) kwenda kwa klabu ya azam fc iliyopo chamazi nini maoni yako mdau kwenye usajili huu je tutaiona Azam ikitwaa ubingwa!?
 
Azam walishindwa vipi kukamilisha huu usajili mapema?

Ilikuwaje mpaka wamlaghai mcheza ili avunje mkataba kihuni?

Mlichokifanya leo ndicho kinacho takiwa kwenye soka, tuma offer then watu wai-evaluate baada ya hapo unasajili mchezaji.

Kulaghai mchezaji ni janja janja za kizamani. Hakuna pahala ambapo watakubali hilo jambo.

Ninashukuru pia Jitihada sa Mheshimiwa Rais Samia ambazo zimewalazimu muende mezani.

Nakumbuka Yanga walliandika barua mara kadhaa kuwa klabu inayomtaka feisal ije mezani. Nyinyi mlijitia majinuni ili hali taratibu mnazifahamu.

Sasa mmejipata katka nafasi ya kuwajibika kufika mezani wenyewe. Kioja kingine baada ya kufika mezani mkajipa "baigaining power" eti tunatoa Milion 270 za usajili.

Bwana mdogo Hersi kawaambia bila 500 hambebi kitu.

Mwisho wa siku mkasamehewa milion 30

Yanga SC wamewafundisha namna biashara ya mpira inavyotakiwa kufanyika.

Hongereni kwa kujifunza.
@NALIA NGWENA mwenzio huyu hapa anakuja na figure ya 500M -30M,mpaka sasa kila mtu na lake.Tajeni figure moja tuwaeleweni enyi wanazi wa Yanga.Ameuzwa kwa 270M,350M au 470M?

Ndiyo maana uongozi umeamua kutoweka hadharani dau lenyewe ili muendelee kujifariji kila mtu na figure yake.
 
Mpaka sasa figure zipo tatu,270M,350M na 470M.Uzuri zote zinaletwa na Yanga lia lia,tumwamini nani? Tutaendelea kuamini ile Taarifa kwa Umma ambayo haijaweka wazi dau lenyewe.
Leta zako na wewe
 
@NALIA NGWENA mwenzio huyu hapa anakuja na figure ya 500M -30M,mpaka sasa kila mtu na lake.Tajeni figure moja tuwaeleweni enyi wanazi wa Yanga.Ameuzwa kwa 270M,350M au 470M?

Ndiyo maana uongozi umeamua kutoweka hadharani dau lenyewe ili muendelee kujifariji kila mtu na figure yake.
Mkuu Nyamizi na wewe za kwako tulinganishe
 
Yanga WoN azam Lost.

Kimsingi Mama kaashurutisha Azam kwenda mezani kama wanataka huduma ya mchezaji.

Baada ya kugoma, sasa wamejitokeza.
Acheni kujifurahisha hapa,aliyewin ni Azam na Feisal maana wamepata walichokitaka.Mnaanza kutudanganya na figures za kubuni ili tu kufurahisha nafsi zenu.
 
Back
Top Bottom