Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujuajiKumbe umekuja kubishana Mwanzo yanga waligoma kumuacha kwa kuwa Azam walikuja kwa dau la 168 mil
Ambazo wametoa Yanga wenyeweMilioni 270 mzee
Usiumie sana ndio mpira
Hapana wametoa simbaAmbazo wametoa Yanga wenyewe
Negative guy as usualDau halitawekwa wazi kwasababu thamani yake ni plate ya ubwabwa
Negative guy as usualDau halitawekwa wazi kwasababu thamani yake ni plate ya ubwabwa
Sisi tumesoma taarifa rasmi na ndiyo tunayoiamini.Dau halijawekwa wazi,wakubwa tushaelewa maana yake.270mil
Kila la heriSisi tumesoma taarifa rasmi na ndiyo tunayoiamini.Dau halijawekwa wazi,wakubwa tushaelewa maana yake.
Wacha kutudanganya bwana.Dau halijawekwa wazi.Kungekuwa na dau nono wangeweka wazi ili kuwafurahisheni nyie wadau wa Yanga.Sasa hivi nyote mnatuletea figure za kufikirika,mara 350M na wewe unakuja na 270M.Kumbe umekuja kubishana Mwanzo yanga waligoma kumuacha kwa kuwa Azam walikuja kwa dau la 168 mil
Acha iwe hivyo basi unavyotaka wewWacha kutudanganya bwana.Dau halijawekwa wazi.Kungekuwa na dau nono wangeweka wazi ili kuwafurahisheni nyie wadau wa Yanga.Sasa hivi nyote mnatuletea figure za kufikirika,mara 350M na wewe unakuja na 270M.
Halafu fainali atachezaAfadhari atanenepa classmate FEISAL
Undisclosed fee hata ulaya ipo inaonekana ni mgeni kwenye mpiraProfessional footballer leo hii anauzwa kwa dau ambalo haliwekwi wazi? Kwamba dau ni dogo sana au ni kubwa sana?
Tena Mama mwenyewe.Haya, Yanga lia lia karibuni. Yule dogo alikuwa na kiburi akijua ana watu, na kweli anao.