Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Okrah Magic kauzwa kwa bei ganiDogo kaondoka buree huyu acheni mbambamba.
Yanga wamepita mule mule kwenye mkeka nilioleta juzi. Hapo sikuweka zile tiketi zilizokuwa zinanunuliwa kwa hiyo Yanga bado mna deni, chungeni mnaweza mpoteza na Mayele muda wowote.
Gharama za Algeria na kurudi = 200,000,000
+
Ndege hadi Mbeya 30,000,000
+
Ubwabwa wa Ikulu = 20,000,000
+
Goli la Fainali kwa Mkapa = 20,000,000
Jumla = 270,000,000
Gharama za kumuachia Feisal Salum = 270,000,000
Ana hoja ila wahusika wanalifanyia kazi suala la usajili asiwe na shaka. Vyuma vya kazi vinashushwa na tutaviona CAF Super League ambapo hao "wenzetu" anaowasifia hawajakidhi viwango vya kuwepo.
Ninavyojua mimi hajauzwa ila pande mbili zimekubaliana kuvunja mkataba. Yanga wanaruhusiwa kumbeba maana ni mchezaji mzuri.Okrah Magic kauzwa kwa bei gani
SawaAna hoja ila wahusika wanalifanyia kazi suala la usajili asiwe na shaka. Vyuma vya kazi vinashushwa na tutaviona CAF Super League ambapo hao "wenzetu" anaowasifia hawajakidhi viwango vya kuwepo.
Utakufa njaa mkuu utakua nini sasa??Azam ni klabu ya WAHUNI
Kumbe Wao ndio walikuwa wanampa kiburi, waliochukizwa na uhuni walioufanya waanze kususia bidhaa za Azam.
Uto amechukua 270M kwa mchezaji ambaye walipewa na mwigulu..UTOPOLO KUWA LA KUSHINDWA WAMECHEMKA TENA.
UTOPWINYO WAMEANGUKIA PUA
Azam ni klabu ya WAHUNI
Kumbe Wao ndio walikuwa wanampa kiburi, waliochukizwa na uhuni walioufanya waanze kususia bidhaa za Azam.
Maisha ya kushabikia soka siyo magumu hivi. Yaani tusifurahie soka sababu Feisal kaenda Azam na Yanga imekuwa na msimu wenye mafanikio?I think mashabiki wa Simba tungejikita kwenye kuhimiza timu yetu ifanye usajiri ni aibu sisi kugeuka kuwa wambea na kushadadia mambo, msimu wa pili mfurulizo tunatoka kama tulivyo anza imagine wenzetu tulikua tunawacheka wamefika fainali CAF confederation tayari wana kombe la NBC kesho kutwa wanacheza fainali Azam federation, Azam FC ndio wametunyima ubingwa msimu huu tayari wana Feisal sisi tumebaki kua wanaharakati
Hii umetoa wapi? Ile move yote ni ya kupika tu kuwaridhisha mashabiki wa yanga ila ukweli dogo kapewa uhuru na yanga huku yanga wakitegemea kupata ardhiMilioni 270 mzee
Barua ya yanga haisemi dau wamesema ni Siri Sasa wewe hilo dau umelitoa wapi?Kumbe umekuja kubishana Mwanzo yanga waligoma kumuacha kwa kuwa Azam walikuja kwa dau la 168 mil
Ushabiki wa namna hii lazima uwe chizi ,et bila 500m hambebi kitu.Azam walishindwa vipi kukamilisha huu usajili mapema?
Ilikuwaje mpaka wamlaghai mcheza ili avunje mkataba kihuni?
Mlichokifanya leo ndicho kinacho takiwa kwenye soka, tuma offer then watu wai-evaluate baada ya hapo unasajili mchezaji.
Kulaghai mchezaji ni janja janja za kizamani. Hakuna pahala ambapo watakubali hilo jambo.
Ninashukuru pia Jitihada sa Mheshimiwa Rais Samia ambazo zimewalazimu muende mezani.
Nakumbuka Yanga walliandika barua mara kadhaa kuwa klabu inayomtaka feisal ije mezani. Nyinyi mlijitia majinuni ili hali taratibu mnazifahamu.
Sasa mmejipata katka nafasi ya kuwajibika kufika mezani wenyewe. Kioja kingine baada ya kufika mezani mkajipa "baigaining power" eti tunatoa Milion 270 za usajili.
Bwana mdogo Hersi kawaambia bila 500 hambebi kitu.
Mwisho wa siku mkasamehewa milion 30
Yanga SC wamewafundisha namna biashara ya mpira inavyotakiwa kufanyika.
Hongereni kwa kujifunza.