cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nashangaa hapoAliyechukua kombe la shirikisho hayupo hata kumi Bora Tena amechukua super cup hizo takwimu ni feki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa hapoAliyechukua kombe la shirikisho hayupo hata kumi Bora Tena amechukua super cup hizo takwimu ni feki
Kwahiyo performance, Yanga iko juu ya mamelodi?Kwani kinachopimwa ni mafanikio au performance?
Hizi siyo rank zinazoangalia shindano moja pekee, ukitaka rank za shindano moja utazipata katika shirikisho la soka Africa (CAF) ambapo utakutana na CAF 5 years ranking. Hii ni rank inayohusisha mashindano yote kwa ujumla ambayo yanatambulika na FIFA (ligi kuu, FA cup, na mashindano ya kimataifa)Nashangaa hapo
Hujui kitu nenda kaangalie alichofanya mamelod kwenye ligi na mashindano mengine ya ndani afu Rudi kwa yanga..Kwahiyo performance, Yanga iko juu ya mamelodi?
Timu iliyochukua Kombe la Shirikisho hata kumi bora haipo? Endeleeni kuwahonga hawa watoa takwimu,nimeomba Linki hakuna
Top 5 kwenye mchujo Hadi SasaMtandao wa International Federation of Football History and Statistics (IFFHS) umetoka taarifa ya takwimu za vilabu bora Duniani kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Septemba 1 2022 hadi Agosti 31 2023.
Upande wa AFRIKA unaonyesha klabu ya YANGA ya Tanzania inashika nafasi ya 3 nyuma ya vilabu vya Ahly ya Misri na Wydad ya Morocco. Huku wababe wa Msimbazi SIMBA SC wakiangukia nafasi ya 12.
Yanga msimu uliopita ilicheza fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF na kupoteza kwa klabu ya USM ALGER ya Algeria , Mabingwa hao wa CAFCC wanashika nafasi ya 10 kwenye orodha hiyo. Mabingwa wa African Football League Mamelodi Sundown ya Afrika Kusini wako nafasi ya 5 baada ya Pyramid ya Misri huku nafasi ya 6 ikienda kwa FAR RABAT, Raja CA iko nafasi ya 7, Zamalek ya Misri 8 na CR BELOUZIDAD ikiwa ya 9
Mtandao wa IFFHS umekuwa maarufu sana Tanzania kwa siku za karibuni na kujizolea sifa miongoni mwa mashabiki wa soka kwa namna wanavyoziona klabu zao zikipepea nafasi za juu kwenye takwimu zao.
My Take
Nyuma Mbele Nyuma Mwiko 😀😀😀
Hiki hapa.
Kwa upande wako wewe unasemaje?Hizi tafiti ndio manara alizipinga sana wakati sinaongoza list sasa sijui takadini atafanyaje sasa hivi.
Mbona Simba inacheza mpira mzuri kuliko Mamelody hata Ahliy waliwahi kusema wanatamani wacheze kama SimbaYanga anaipita mamelod kwa ubora afrika! Maajabu haya
Belgium ilishika nafasi ya kwanza ya rank za FIFA wakati haikuingia hata fainali za world cup au kuchukua kombe la EURO.
Kama na hili haulijui japo ni la miaka michace tu iliyopita utakuwa umeanza kufuatilia soka punde tu!Mwaka gani?
Nikupe na link?Mwaka gani?
Nimempa link ataona imeshika namba 1 kwa miaka minne(4) mfululizo na Kuna mwaka mwingine kabla ilishika namba 1, jumla mara 5 kwa miaka ya karibuni.Kama na hili haulijui japo ni la miaka michace tu iliyopita utakuwa umeanza kufuatilia soka punde tu!
Ongeza jamaa anaitwa Nalowa ngwena,