Yanga yashtakiwa tena TFF

Ukiweza fungua hii link,

https://www.facebook.com/
 
Mbona kambole,doumbia na bigirimana wako kwa mkopo timu zingine wao nani wakatae kupelekwa kwa mkopo while kwenye mikataba yao kuna kipengele cha kutolewa kwa mkopo
 
Haifunguki ila angalia hii halafu nia ambie Yanga kosa lao lipo,wapi ila kama unata ushabiki nnya sawa.


Your browser is not able to display this video.

Hapa je bado haifunguki? Nimeweka video yenyewe badala ya link. Unaweza uka click hivyo vidoti vitatu ukai download kabisa ili uiangalie vizuri.
 
View attachment 2700100
Hapa je bado haifunguki? Nimeweka video yenyewe badala ya link. Unaweza uka click hivyo vidoti vitatu ukai download kabisa ili uiangalie vizuri.
Ila umekiona alicho ongea Edo and I hope umekielewa.Mchezaji hana uwezo wa kugomea kupelekwa kwa mkopo, uwezo huo hana.
 
Msikilize Edo.
Yanga wamewapa wanachotaka so sada hivi wana subiria hela.
Kwa hiyo hakuna kesi iliyofunguliwa? Edo si ni kama wewe tu, siyo mamlaka au chombo official, ni mchambuzi.
 
Kwa hiyo hakuna kesi iliyofunguliwa? Edo si ni kama wewe tu, siyo mamlaka au chombo official, ni mchambuzi.
Kuna sehemu nimekata hamna kesi?

Sasa Edo akiwa kama mm basi kutakuwa hamna haja ya kusikiliza hata habari za michezo au ww habari ya kwamba Yanga wamefuguliwa kesi umeletewa barua nyumbani kwako.

Edo anacho kiongea kina wakilisha Wasafi, au may be kwako Wasafi sio chombo official.
 
Kuna sehemu nimekata hamna kesi?
Kama kesi ipo tusubiri, mwishoni janja janja atajulikana tu
Sasa Edo akiwa kama mm basi kutakuwa hamna haja ya kusikiliza hata habari za michezo
Ile ni taarifa, unaisikia kupitia chombo official cha habari na inathibitishwa na mamlaka husika, ndo maana nikauliza hamna kesi TFF?
au ww habari ya kwamba Yanga wamefuguliwa kesi umeletewa barua nyumbani kwako.
Punguza makasiriko.
Edo anacho kiongea kina wakilisha Wasafi, au may be kwako Wasafi sio chombo official.
Edo ni mchambuzi wa michezo, katika uchambuzi, mawazo na maoni binafsi huingizwa.
 
Sasa nani kakasirika mbona unajishtukia kama unaoga nje?

Edo ni mchambuzi, ila habari ameitoa akiwa ndani ya chombo cha habari na si kijiweni.Ndio maana kama mwandishi wa habari akisema uwongo basi chombo cha habari kitawajibika, ila angekuwa kasema kijiweni ningekuwa na wasiwasi.

Na habari kuisikia kwenye chombo husika mara nyingi imethibitishwa na sometimes si habari zote mamlaka zinathibitisha, mtangazaji anaweza akawa na sources yake ya siri ndani ya hiyo mamlaka.
 
Sasa nani kakasirika mbona unajishtukia kama unaoga nje?
Haya ni makasiriko. Misemo misemo iliyo nje ya mada.
Edo ni mchambuzi, ila habari ameitoa akiwa ndani ya chombo cha habari na si kijiweni.Ndio maana kama mwandishi wa habari akisema uwongo basi chombo cha habari kitawajibika, ila angekuwa kasema kijiweni ningekuwa na wasiwasi.
Suala siyo Edo, suala ni kuna kesi au hakuna kesi? Kama kuna kesi Edo si mhitimishaji ndo maana nakwambia janja janja atajulikana, subiri. Kwani tatizo lako ni nini haswa? Mbona umeng'ang'ana sana na Edo?
Na habari kuisikia kwenye chombo husika mara nyingi imethibitishwa na sometimes si habari zote mamlaka zinathibitisha, mtangazaji anaweza akawa na sources yake ya siri ndani ya hiyo mamlaka.
Mtangazaji ndo anahitimisha kesi zilizofunguliwa kwenye mamlaka husika?

Kwani msingi wa hoja yako ni nini? Maana tangu mwanzo nakuambia tusubiri janja janja atajulikana tu baada ya kesi ila ni kama kuna hoja unaipigania wakati hata kesi haijasikilizwa.
 
Mbona unapayuka,Edo sehemu gani kahitimisha?

"Kwani msingi wa hoja yako ni nini? Maana tangu mwanzo nakuambia tusubiri janja janja atajulikana tu baada ya kesi ila ni kama kuna hoja unaipigania wakati hata kesi haijasikilizwa."

Kasome comment yangu no tatu kama unamajibu yake ,unaweza kunipa.
 
Mbona unapayuka,Edo sehemu gani kahitimisha?
Sasa ulimleta awe mada wa nini?
"Kwani msingi wa hoja yako ni nini? Maana tangu mwanzo nakuambia tusubiri janja janja atajulikana tu baada ya kesi ila ni kama kuna hoja unaipigania wakati hata kesi haijasikilizwa."

Kasome comment yangu no tatu kama unamajibu yake ,unaweza kunipa.
Nilishakujibu kuwa tatizo linaweza kuwa si hilo, labda kiwango Yanga wanachohitaji hakilingani na thamani ya mkataba na nikahitimisha tusubiri mwisho wa kesi janja janja atajulikana. Wewe ukamleta Edo awe mada.
 
Sasa ulimleta awe mada wa nini?

Nilishakujibu kuwa tatizo linaweza kuwa si hilo, labda kiwango Yanga wanachohitaji hakilingani na thamani ya mkataba na nikahitimisha tusubiri mwisho wa kesi janja janja atajulikana. Wewe ukamleta Edo awe mada.
Sijamleta nili jaribu kuhoji na kuwa na mada ndani ya mada endapo mada hizo zinaenda sambamba sio kibaya.

Ww unavyozani Yanga may be walitaka kiasi gani?
 
Sijamleta nili jaribu kuhoji na kuwa na mada ndani ya mada endapo mada hizo zinaenda sambamba sio kibaya.
Okey boss
Ww unavyozani Yanga may be walitaka kiasi gani?
Mm sitaki kudhani. Nataka nikie msingi wa kesi na kwanini wameshindwana na mchezaji anataka TFF ifanye nini. Hapo ndo nitajua nani janja janja.
 
Okey boss

Mm sitaki kudhani. Nataka nikie msingi wa kesi na kwanini wameshindwana na mchezaji anataka TFF ifanye nini. Hapo ndo nitajua nani janja janja.
OK 👍 ngoja tusubiri.
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…