Yaaa hilo lipo wazi mkuu, coz match ya taifa stars ni tar 2 kama sio 3, kwahyo hii automatically ila wachezaji wengi wapya watakuwepo na kama sikosei wote watakuwepo pale taifabro naomba nikuulize swali inaamana Kuna baadhi ya wachezaji hawatokuwepo sehemu ya wiki ya wananchi tarehe 29??
Ndio imeisha mkuu[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] Umepaniki
Kambi ya Hisani imeisha .
Mtaongea mengi,lakini ile siku ya mwananchi tutawakata kilimilimi1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka
2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.
3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale wanigeria pia.
My take:::
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?!
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!
Wengi wao wajinga ndo maana waliitwa mbumbumbu na Ismail Aden Rage coz Ishu iko wazi kabisa siku ya mwananchi ni tar 29, wanataka timu ikae huko mpaka lini sasa?Mtaongea mengi,lakini ile siku ya mwananchi tutawakata kilimilimi
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hawanaga akili hawa vijana wa simba ni watu wa mpasho tu, watuache na timu yetu, tunajua tunachokifanyaYaah wapo sahihi kabisa wananchi ratiba yao haipo rafiki hivyo kwa vyovyote hawezi kukaa mpk mwisho wa wiki kule Morroco kama watani wao ambao ratiba yao ipo rafiki sana kwani wao mashindano yao yaanza mwezi wa tisa mwishoni kabisa na ndio maana hata simba day wamesogeza mbele kutoka na urafiki huo wa ratiba
Tafadhali sana naomba msiendeleee kuishikilia laana ya UMBUMBUMBU kwenye vichwa na maisha yenu enyi vizazi vya Mo dewji
Umenifurahisha sanaa yani,Mbumbumbu wengi hawana reasoning
1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam, kwahyo hapo zinabaki siku nne pia kuna uchovu wa safari na kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mtanange wa wiki hiyo ya mwananchi
Tupo mule mule tu.
Wachezaji wanatakiwa timu ya Taifa
1.Kabwili
2.Feisal
3.Mauya
4.Job
5.Mwamnyeto
6.Yacouba
7.Mokoko Tonombe
8.Djagui Diarra
Kimsingi hapo kwa tuliosomea coaching hasa ukiwa kambi ya maandalizi ya msimu bila kuwa key players wako, hapo huwa tunahesabu hakuna maana ya kuwa na kambi hiyo, automatically kuna mbinu ulikuwa uzitoe lakini utashindwa kutokana na kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wako muhimu
Na isitoshe wiki ya mwananchi ipo ukingoni sina shaka kumuelewa Coach Nabi na Eng. Hersi said
Kulikua na haja gani ya kwenda huko na ratiba Na ilihali ratiba haikua upande wenu au shobo tuYaah wapo sahihi kabisa wananchi ratiba yao haipo rafiki hivyo kwa vyovyote hawezi kukaa mpk mwisho wa wiki kule Morroco kama watani wao ambao ratiba yao ipo rafiki sana kwani wao mashindano yao yaanza mwezi wa tisa mwishoni kabisa na ndio maana hata simba day wamesogeza mbele kutoka na urafiki huo wa ratiba
Tafadhali sana naomba msiendeleee kuishikilia laana ya UMBUMBUMBU kwenye vichwa na maisha yenu enyi vizazi vya Mo dewji
acha mat.henge ww...mpuuziYanga wachoka kuliwa viboga huko morocco waamua kurudi bongo
Ukweli lazima usemwe utopolo mnazingia utafikil hatuja wapakata kwenda kimataifa nyie mgeweka kambi tu hata hapo bagamoyo on a sasa warabu wamewala kiboga hadi wachezaji 14 wana uviko-19acha mat.henge ww...mpuuzi
Nashukuru mkuuHapo hesabu zipo vizuri tu mkuu, tar 27 jioni msafara unatoka Morroco na kufika Dubai na tar 28 mapema tu timu inakuwa Imefika kambini na jioni yake yatafanyika mazoezi ya viungo ili kuweka mwili sawa na tar 29 asubuhi yatafanyika mazoezi ya mwisho na jioni timu itaingia kwenye mechi coz sio mechi ya kimashindano ila ni mechi ya kuwatambulisha wachezaji wapya na muhimu katika hilo wote watakuwepo
Ahsante
***** zako unatutafutia ban za kijingaUkweli lazima usemwe utopolo mnazingia utafikil hatuja wapakata kwenda kimataifa nyie mgeweka kambi tu hata hapo bagamoyo on a sasa warabu wamewala kiboga hadi wachezaji 14 wana uviko-19
Unataka kusema uto kabla ya kwenda Morocco hamkuyajua hayo. Acha kutia aibu. Bora ungekaa kimyaMbumbumbu wengi hawana reasoning
1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam, kwahyo hapo zinabaki siku nne pia kuna uchovu wa safari na kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mtanange wa wiki hiyo ya mwananchi
Tupo mule mule tu.
Wachezaji wanatakiwa timu ya Taifa
1.Kabwili
2.Feisal
3.Mauya
4.Job
5.Mwamnyeto
6.Yacouba
7.Mokoko Tonombe
8.Djagui Diarra
Kimsingi hapo kwa tuliosomea coaching hasa ukiwa kambi ya maandalizi ya msimu bila kuwa key players wako, hapo huwa tunahesabu hakuna maana ya kuwa na kambi hiyo, automatically kuna mbinu ulikuwa uzitoe lakini utashindwa kutokana na kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wako muhimu
Na isitoshe wiki ya mwananchi ipo ukingoni sina shaka kumuelewa Coach Nabi na Eng. Hersi said
Hahaha hawa jamaa ni mapimbi yaliyotukuka, yaani hiyo safari waliyoenda ni sawa na bure bora wangebaki wafanyie mazoezi hapahapa km muda haukuwa rafiki, hata wiki haijaisha hawa hapa wanarudi, timu ya magazeti hiiKulikua na haja gani ya kwenda huko na ratiba Na ilihali ratiba haikua upande wenu au shobo tu
Siku utopolo mkiwa na mipango mikakati mizuri mtafikambali ila hili sion likitokea hivi karbuni
Mkuu unatengeneza hoja ambazo hazina mashiko,,Hata huku kwa watani kinachowapa nguvu ni kwamba mechi zao za kimataifa zitaanza mwezi wa 10 na mechi yao ya kwanza kimashindano itakuwa itakuwa September mwishoni kabisa ikiwa ni ya Ngao ya hisani wakicheza na wapinzani wao Yanga, hivyo wana faida kubwa kimaandalizi
Na ndio maana hata simba day wamesogeza mbele na hii ni kutokana na urafiki wa ratiba walio nayo na hilo halina shaka
Hii ni tofauti kwa watani wao Yanga ambapo kabla ya kukutana kwenye ngao ya hisani watakuwa wamesha cheza almost mechi mbili tena za kimataifa tena zenye kuamua hatima hatma yao kwenye yao kwenye CAF Champions league
Hivyo basi kama usipokuwa mbumbumbu utakuwa unaelewa nini Yanga wanakifanya
Hisani imekata teh teh tehNashukuru mkuu
Sorry lakini, kwa mantiki hiyo hakutakua na mapumziko, so hata ikitokea wakapata matokeo mabaya wasialumiwe wachezaji
Halafu ishu nyingine ni suala la joto, nimeona mwanaspoti wamemnukuu Eng. Hersi akisema kuwa kule kuna joto sana kuliko Dar, swali langu ni kuwa kabla hawajaenda kule walikua hawajafanya assessment kujua hali ya hewa ilivyo kule ku compare na Dar?
Na pia, kama kufanya mazoezi wameshindwa sababu ya joto, je ikitokea kwenye mechi za CL wakipangwa na mshindani kutokea Morocco na wakapangwa hapo hapo Marrakech watashindwa kucheza sababu ya joto?
Ahsante!!
Hivi mkuu, kati ya kujiandaa na wiki ya mwananchi na kujiandaa dhidi ya mechi ya Rivers United kipi ni bora? Kwanini nguvu nyingi zitumike kwenye wiki ya mwananchi nasio maandalizi ya klabu bingwa?Mbumbumbu wengi hawana reasoning
1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam, kwahyo hapo zinabaki siku nne pia kuna uchovu wa safari na kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mtanange wa wiki hiyo ya mwananchi
Tupo mule mule tu.
Wachezaji wanatakiwa timu ya Taifa
1.Kabwili
2.Feisal
3.Mauya
4.Job
5.Mwamnyeto
6.Yacouba
7.Mokoko Tonombe
8.Djagui Diarra
Kimsingi hapo kwa tuliosomea coaching hasa ukiwa kambi ya maandalizi ya msimu bila kuwa key players wako, hapo huwa tunahesabu hakuna maana ya kuwa na kambi hiyo, automatically kuna mbinu ulikuwa uzitoe lakini utashindwa kutokana na kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wako muhimu
Na isitoshe wiki ya mwananchi ipo ukingoni sina shaka kumuelewa Coach Nabi na Eng. Hersi said
Sasa ndo mlitakiwa muwe na mda wa kambi siyo kukimbia kimbia Kama watalii,Nye mna mechi za karibu mnaenda kambi Morocco na mnavunja kambi mapema ,baadaye mtaanza Tena kulia kwamba mnahujumiwa kumbe Nye wenyeweHata huku kwa watani kinachowapa nguvu ni kwamba mechi zao za kimataifa zitaanza mwezi wa 10 na mechi yao ya kwanza kimashindano itakuwa itakuwa September mwishoni kabisa ikiwa ni ya Ngao ya hisani wakicheza na wapinzani wao Yanga, hivyo wana faida kubwa kimaandalizi
Na ndio maana hata simba day wamesogeza mbele na hii ni kutokana na urafiki wa ratiba walio nayo na hilo halina shaka
Hii ni tofauti kwa watani wao Yanga ambapo kabla ya kukutana kwenye ngao ya hisani watakuwa wamesha cheza almost mechi mbili tena za kimataifa tena zenye kuamua hatima hatma yao kwenye yao kwenye CAF Champions league
Hivyo basi kama usipokuwa mbumbumbu utakuwa unaelewa nini Yanga wanakifanya
Bora ukaitwa mbumbumbu kwa jina kuliko kua mbumbumbu kichwani. Ratiba ya FIFA na CAF zilikua zinajulikana. Hata sababu ya joto hayo ni wendazimu unaendaje sehemu za joto afu unakuja kusingizia joto?Yaah wapo sahihi kabisa wananchi ratiba yao haipo rafiki hivyo kwa vyovyote hawezi kukaa mpk mwisho wa wiki kule Morroco kama watani wao ambao ratiba yao ipo rafiki sana kwani wao mashindano yao yaanza mwezi wa tisa mwishoni kabisa na ndio maana hata simba day wamesogeza mbele kutoka na urafiki huo wa ratiba
Tafadhali sana naomba msiendeleee kuishikilia laana ya UMBUMBUMBU kwenye vichwa na maisha yenu enyi vizazi vya Mo dewji
Ukweli lazima usemwe tumewapakata kimataifa badala muwe na maandalizi mema kwa msimu ujao mnadabua dambua huko uwarabuni***** zako unatutafutia ban za kijinga