Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
[emoji1432]Wananchi wanaanza safari leo kutoka Morroco, hiyo tar 27 ilikuwa ni tarehe iliyopangwa Kwa kumaliza kwa kambi na kuondoka huko. Sijui Umeelewa halafu kambi huwa sio mwezi mmoja au miwili mkuu, fuatilia kambi za timu za Ulaya hasa wakiweka kambi nje ya nchi zaoView attachment 1904560
[emoji23][emoji23][emoji23], yeye mwenyewe alikua hajaokota hiyo picha insta, sasa hivi wamempostia viongozi wake ndio ameamua kutamba nayo, wakati kiongozi wake Eng. Hersi amesema mwenyewe team itakuja kwa mafungu, leo wanaondola fungu la kwanza na siku chache zijazo, haijulikani lini litakuja fungu la pili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kweli ni nyani hii kauli nimeona umemulza mdau mmoja tena umeambanaisha na picha ukimulza kuwa team inarud leo hiyo tareh 27 yy kaitoa wap? Sasa na ww tujibu umeitoa wap hiyo tarehe 27?
Unajitahidi kukaza taya ila unachokiomgea haina mantiki ,acheni kuiga iga kama uwezo wenu mdogo ,siyo mnakimbia kimbia tu ndo maana Lucy aliwaita nyaniMbumbumbu at your own peak, kambi nje ya nchi huwa ni ya kimkakati zaidi mkuu huwa hazichukui hata mwezi mmoja, angalia kambi za Ulaya hasa timu Ikitoka nje ya nchi yake
Ko nyie furaha yenu ni kufurahisha biashara ya GSM uku timu yenu ikiendelea kufanya viby?Wengi wao wajinga ndo maana waliitwa mbumbumbu na Ismail Aden Rage coz Ishu iko wazi kabisa siku ya mwananchi ni tar 29, wanataka timu ikae huko mpaka lini sasa?
Huyu ni kama chizi hajui hata anachokiongea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kweli ni nyani hii kauli nimeona umemulza mdau mmoja tena umeambatanisha na picha ukimulza kuwa team inarud leo hiyo tareh 27 yy kaitoa wap? Sasa na ww tujibu umeitoa wap hiyo tarehe 27?
Mwarabu mtu mbadYanga wachoka kuliwa viboga huko morocco waamua kurudi bongo
Hivi edo alienda kwa hisani ya yanga?Kwahiyo na Edo kumwembe atarudi na mwanasporti yake.?
Ww mbumbumbu Legeza misuli ya kichwa na matako ili ueleweKo nyie furaha yenu ni kufurahisha biashara ya GSM uku timu yenu ikiendelea kufanya viby?
Azam fc wenye akili wameona bora kusitisha Azam festival ili kujiandaa na mashindano. Afu nyie mnaongea utopolo wenu
Ww mbumbumbu Legeza misuli ya kichwa na matako ili ueleweUnajitahidi kukaza taya ila unachokiomgea haina mantiki ,acheni kuiga iga kama uwezo wenu mdogo ,siyo mnakimbia kimbia tu ndo maana Lucy aliwaita nyani
Ww mbumbumbu Legeza misuli ya kichwa na matako ili uelewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kweli ni nyani hii kauli nimeona umemulza mdau mmoja tena umeambatanisha na picha ukimulza kuwa team inarud leo hiyo tareh 27 yy kaitoa wap? Sasa na ww tujibu umeitoa wap hiyo tarehe 27?
Timu ya Yanga Jumapili ya jana tumitimiza wiki moja kamili katika maandalizi ya msimu unaokuja katika mashindano ya kimataifa CAF champions league na ligi kuu Tanzania bara.Wewe nae na kingereza chako cha kukalili! Jibu hoja za watu usituletee hapa ngonjera zako utadhani umegundua leo huo msemo wa “at your own peak” .Tunakuuliza ni nini hasa kilikupelekeni huko Morroco kama mlijua ratiba inawabana? Unaondoka hapa tar 17 unafika tar 19,unakaa siku 4 unavunja kambi,ukiulizwa unajibu ratiba inabana,wakati unafanya maamuzi ya kwenda huko,hukujua kama ratiba itabana?
Ukilegeza misuli ya kichwa na matako ndo utaelewa mbumbumbu mkubwa wwPumzika tu kwa sasa,huna majibu ya kujitosheleza ktk hili.
Utakuta hata naul ya kulipia wachezaj wote hawana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], yeye mwenyewe alikua hajaokota hiyo picha insta, sasa hivi wamempostia viongozi wake ndio ameamua kutamba nayo, wakati kiongozi wake Eng. Hersi amesema mwenyewe team itakuja kwa mafungu, leo wanaondola fungu la kwanza na siku chache zijazo, haijulikani lini litakuja fungu la pili
nami najiuliza ina maana haya hawayakuyaona kabla?Kama ndio ivyo mbumbumbu wewe na yanga,kati ya izo sababu ipi ambayo ilikuja gafla baada ya kufika Morocco ?
Rudia kusoma ulichoandika na utagundua kuwa wewe ni mbumbumbu mkubwaHujajibu swali langu la msingi haya yote hayakujulikana,,
1)Nini maana ya uongozi wa team..
2)hakuna ratiba maalum ya msimu kwa team mambo yanaenda enda tu
3) au ratiba ipo ila kuna watu wenye influence nje ya uongozi wanaendesha team kwa agenda zao tofaut na za viongozi..
Kubali ukatae yanga kuna tatizo kubwa la kiungozi wako dis organized kabisa na hawajui wanataka nini..
Kuna jambo la ajabu ambalo lishakua kama la kawaida bwana hersi kua ndo mzungumzaji mkuu wa team na planner wa kila kitu sidhani hata kama kina msola wanafurahia hili.
Hersi ni nan yanga na mamlaka ya kuongelea mambo ya yanga anayatoa wapi..
Hata kina mzee wangu msolla nikuambie sasa hawafurahi hili swala ila wakiongea wanaonekana hawaitaki yanga mazuri wanamkera mdhamini..
Hersi na gsm yake wamekua ni viongozi nje ya uongozi halali wa yanga na hapa ndo mambo yote yanapotinginywa..
Luc alisha sema hwa uelewa wa mende kaka[emoji23][emoji23]Huyu ni kama chizi hajui hata anachokiongea
Hili swala lilikua calculated tangu mwanzo kwenye ratiba zenu kwamba mlijua situation hii tangu mda au by coincidence tu?Wanaondoka kwa mafungu coz wanaanza walioitwa timu ya Taifa kwanza ili wawahi kambi ya timu ya taifa inayoanza kesho na kundi lingine ndo hilo litaondoka baadae kwa ajili ya wiki ya mwananchi
Ok, siku ya mwananchi ni tar 29, mnataka tukae huko mpk lini labda?
Kama pembeni na uendelee kujifunza soka, bado haujaiva mbumbumbu mkubwa weweHao unaowatolea mfano si kama wanakaa kambi wiki hapana ila wao wanatembea mfano wik moja anakaa kambi Sydney ,anapga mechi ata moja baada ya apo anaenda sehem nyingine nako ivyo ivyo anapga game moja au mbil kambi inaweza kuchukua ata mwez lakin unakuta wanakaa sehem tofaut tofaut ,ww unatetea ila kishabik tu ukwel ata wenyewe walishapanga lengo wakakae kambi kuanzia siku 10 kwenda mbele aya yaliyotokea kuna shida tu sehem ukiniambia sababu ni siku ya wananchi au kuitwa wachezaji timu ya taifa ni sababu kwa sababu washaamua