Kumfunga CRB ushindi wowote na kutoa sare na Ahly ndo mahesabu rahisi kwa Yanga kuliko hizo mambo za kumfunga CRB goli 4.Sare na Al Ahly ni mutual exclusive ni sawa na mtu aliyeambiwa avae boxer kisha avuke maji ya shingo bila pumb kulowa.
WE utaweza?
Usiishi kwa kukremisha mzee! Fanya reference ya afcon. timu silizokuwa zinabezwa ndiyo zilizofanya vizuri, mpira wa Africa umekua kila timu ina nafasi ya kusonga mbele!View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Mi naona kutoa sare na Al Ahly ni ngumu zaidikumfunga CRB ushindi wowote na kutoa sare na Ahly ndo mahesabu rahisi kwa Yanga kuliko hizo mambo za kumfunga CRB goli 4
Sio kweliMechi ya mwisho kwa Al Ahly huko Misri hesabia kipigo tu, wale jamma wakiwa kwao ni tofauti sana
Hahaha hata mimi nimemshangaa, atakuwa anajifunza mpira.Mtoa maada umeassume kwamba Madeama wamejitoa mashindanoni.
Kwani Simba ikatokea akapigwa na Asec halafu wale wamorocco wakashinda mechi zao zote mtafanyeje?Simba?!Umerogwa wewe
Sahihi, usishangae Madeama akafuzuUsiishi kwa kukremisha mzee! Fanya reference ya afcon. timu silizokuwa zinabezwa ndiyo zilizofanya vizuri, mpira wa Africa umekua kila timu ina nafasi ya kusonga mbele!
How?Hiyo game ya yanga na CRB pale kwa mkapa ni game ngumu mno tofauti na wadau wengi wanavyopiga hesabu za vidole tena inaweza ikatoa matokeo ya kushangaza....ila yanga akifanikiwa kushinda 4-0 anapita moja kwa moja kwenda robo kabla hajacheza hata game yake ya mwisho na al ahly, na akitokea amefungwa hata goli moja itakuwa end of the road kwake!....
Sio lazima uione weweMi naona kutoa sare na Al Ahly ni ngumu zaidi
Japo mpira hautabiriki ila nafasi kubwa ya matokeo ya mwisho siioni sare kwa Yanga kule Cairo
Nawewe utoke humuWatoke..
Na Simba nao watoke
Andika ueleweke, kufuzu ili kundi ili iweje?Yanga anafuzu ili kundi. Anatoboa kwenye mechi ya mwisho
Wee naeee.
Afadhali hujataka kusema chochote. 😀
kwanini unaamini hivyo? Je ulijua msimu huu Yanga atakukojolea vitano?Sare na Al Ahly ni mutual exclusive ni sawa na mtu aliyeambiwa avae boxer kisha avuke maji ya shingo bila pumb kulowa.
WE utaweza?