Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
SimbaHivi hizi comments zinaandikwa na mashabiki wa timu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SimbaHivi hizi comments zinaandikwa na mashabiki wa timu gani?
Kabisa kuna tatizo kubwa la ajiraUnemployment hii, huu mpira sio wa ku shabiki a Kama full time job.
Alafu na bado wajinga hao hao watakashifu ulichoandika hapa bado tuna safari ndefu sana vitu vya kipumbavu mno ndo utaona kundi kubwa la watu wanatoa support ya maana.Hawa wajinga wapo tayari kukesha ajili ya mpira na siyo ajili ya Tanzania ya miaka 50 ijayo, CCM wajanja sn wanajua wajinga wengi wapo kwenye mpira ndiyo maana wamewekeza huku wajinga wajikite na mpira mafisadi yapige pesa za umma.
Hao hawana shuguli ya kufanyaNo usiache lakini usiwe mtumwa wa mpira, ni ngumu sn kukuta kusanyiko la vijana/wazee wa kitanzania wanajadili maswala ya nchi yao zaidi ya mpira, pool table, alkasusi, pombe, uzinzi, kubet, umbea n.k, mwambie Mwenyekiti wa mtaa aitishe mkutano wa mtaa kuja kujadili maendeleo ya mtaa kama utawaona zaidi sn watakuja akina mama wazee. kuna shida kubwa sn
Kwa hiyo unazingua siyo?
Hawa washabumbuwazwaHivi jamani hawa watu wanafanya kazi gani, maana mtu anakesha siku za kazi na uhakika kama ingekuwa hata Baba yake anakuja angeambiwa tu Baba chukua taxi tu airport si unajuwa kesho kazi na shule watoto. Lakini watu wengi wanaenda kukesha au wanapewa posho.
Surely something is wrong somewhere !!!!!!. It sound weird.Imagine saa tisa ya usiku!
Something’s not right!
Kwa hivyo ajira msiwape na kufurahia mpira nao hamtaki?!Kabisa kuna tatizo kubwa la ajira
Ova
Kama una shuguli yako huwezi kuacha eti ukapokee team na syo kuipokea tu na kusukuma gari zao mpaka jangwani,Kwa hivyo ajira msiwape na kifurahia mpira nao hamtaki?!
Lakini walioenda kupokea timu wametumia muda wao wa ziada!!!kwani extra time tunapangiana zitumikeje?!kwani Kwa kwenda kuipokea timu mambo yao yapi hayakuenda?! Kama ni Kula mbususu wamekula ndo wakaenda airportSiwezi enda kupokea timu saa9 usiku mkuu hata kama ingekuwa saa4 asbh siwezi huo muda Sina. Family yangu inalishwa na Mimi sio mpira huo
Kilichokosekana ni Akili iliyo timamu tu kwa watanzania wengi,uwezo wao umeishia kukesha kushabikia yanga na sio maendeleo yao na familia zao.Uzwazwa tu.Wadau hamjamboni nyote?
Haijataja kutokea kwenye historia ya mapikezi ya timu ya soka tanzania
Maelfu Kwa maelfu ya wapenzi wakesha usiku wakusubiri kuwasili Kwa mabingwa wa ligi kuu Tanzania
View attachment 3056560View attachment 3056561View attachment 3056562View attachment 3056563
Lakini unapiga nae mzigo? Kwamba kazi anafanya na pesa anapata, si ndio?Ukiona mtu mzima kabisa muda wote yeye stori zake ni za simba na yanga ndugu mkimbie hamna mtu hapo, kuna broh mmoja napiga nae mzigo kila mara yeye Yanga yangaa yangaaa ,
Namuona mswahili na mjinga flani hivi hawazi kingine chochote ni umbea wa yanga tuuu na majungu
Tena kaenda mbali zaidi mpaka nae kawa mchambuzi, lakini ukimuuliza hata kinaendelea nini Nchini anakutolea mijicho tu
SANDA FCHivi hizi comments zinaandikwa na mashabiki wa timu gani?
Sasa usiku huo ulitaka wakeshe wakila mbususu?!Hawana shuguli za kufanya hao
Ova
Kila mtu afanye anachokipenda, kama wewe unapenda harakati za siasa nenda kaandamane usiku kucha hakuna atakayekuuliza, katiba ya nchi inakuruhusu kuandamana au kufanya siasa.Hawa wajinga wapo tayari kukesha ajili ya mpira na siyo ajili ya Tanzania ya miaka 50 ijayo, CCM wajanja sn wanajua wajinga wengi wapo kwenye mpira ndiyo maana wamewekeza huku wajinga wajikite na mpira mafisadi yapige pesa za umma.