Yanga yaweka record duniani kujaza viwanja viwili Kwa wakati mmoja

Licha ya fungulia mbwa. Watu walikuwa kwenye pitch na sio majukwaa ndio mnasema mmejaza uwanja? Mnadhalilisha taifa acheni hizo.
 
Ticket hazikuisha, ila wanaimba tumejaza uwanja!! Napata shida sana kuwaelewa,uwanja wa uhuru watu waliingia bure, wenye ticket Ndio waliingia mkapa, na ticket zaidi ya 10k hazikuuzwa, mlijazat kiaje huo uwanja?
Utakua ni kipofu au ulipitia mgambo si kwa ubishi huu πŸ˜‚
 
Kumbe uongo ni jadi yenu.
 
Ni bora ungenyamaza ww chura...yani jana ilikua ni bonanza la temeke..πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Licha ya fungulia mbwa. Watu walikuwa kwenye pitch na sio majukwaa ndio mnasema mmejaza uwanja? Mnadhalilisha taifa acheni hizo.
Hii yanga itaweka record heavyweight sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…