Yanga yaweka record duniani kujaza viwanja viwili Kwa wakati mmoja

Ni bora ungenyamaza ww chura...yani jana ilikua ni bonanza la temeke..[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Naskia Jana hukubanduka kabsa kwenye tv....ukifuatilia wananch
 
Kuna watu wanatesekaa sanaa
 
Utopolo Mnapenda vya bure sana yule hersi akisema wanaume wote wa utopolo awafanye mke mtakubali hamjitambui
haaaaa Mwamedi ndo anataka kuwafanya Makolo muwe wake zake [emoji32][emoji32]
 
Naskia Jana hukubanduka kabsa kwenye tv....ukifuatilia wananch
Sikuangalia kabisaaaa...niwe mkweli..ila jmos sikubanduka kwakweli...hata jukwaani humu sikugusa..ile ilikua ni sherehe yenye hadhi 5 sio hilo lenu la disko vumbi....πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mirejesho kuhusu tamasha lenu nimeona instagram,kwny magroup watsup..n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…