Yanga yazindua jezi zake leo 27/07/2024


Hii jezi kali sanaaaa sanaaa, kesho naenda kununua ya familia nzima kabisa
 

mali iyo inaambatana na jezi mpya... 20k tu matajiri Zinatumia battery ama Usb yake iliyokuja nayo na znawaka rangi 7 au ukitaka rangi moja
 
Utakufa wewe
sisi si mnasema tunabatiki sawa nyinyi hiyo sanda nani atakufa sasa ikiwa mshono wenu wa 7 kwa 2 bado haujashika vizuri!,na mnasema ubaya ubwela vipi mnataka kufa na tai shingoni au..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…